kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,990
- 17,877
Baadhi ya wananchi wa Rwanda wa maeneo hatarishi wahamishwa na kupatiwa nyumba za kisasa +SAUTI
Nov 26, 2020 17:08 UTC
PAKUA
Hatimaye serikali ya Rwanda imeafikiana na kundi la wananchi waliokuwa hapo awali wamekataa kuhamishwa kutoka maeneo hatarishi kwenda kwenye sehemu ambayo serikali ya nchi hiyo inawajengea nyumba za kisasa.
Wananchi hao ambao malalamiko yao yaliendelea kusikika kwenye vyombo vya habari vya ndani na nje ya Rwanda hatimaye watahama bila kupewa pesa taslimu lakini nyumba safi na za kisasa.
Nov 26, 2020 17:08 UTC
PAKUA
Hatimaye serikali ya Rwanda imeafikiana na kundi la wananchi waliokuwa hapo awali wamekataa kuhamishwa kutoka maeneo hatarishi kwenda kwenye sehemu ambayo serikali ya nchi hiyo inawajengea nyumba za kisasa.
Wananchi hao ambao malalamiko yao yaliendelea kusikika kwenye vyombo vya habari vya ndani na nje ya Rwanda hatimaye watahama bila kupewa pesa taslimu lakini nyumba safi na za kisasa.