Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,550
- 12,664
Kichaa ni wewe ambaye huelewi mada inahusu nini?South Africa na hata India kuna squatters nyingi huenda kuliko hata Dar!Una kichaa wewe umeambiwa zaidi ya asilimia 70 ya dar haijapimwa !
Niambie ni mji gani South Africa wenye wastan wa kutopimwa kwa asilimia 70. Unaongea pumba tu.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app