Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Namna walivyokaa naye behind bars sidhani kama bado ana uhaiBado yule mama anaitwa Victoire Ingabire,nadhani ni next target ingawa dunia itampigia kelele sana ila ndo hivyo tena,na hii atasubiri hii inshu ya Kizito ipoe na atahakikisha inafanyika baada ya mkutano wa jumuiya ya madola huko Kigali.