luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Yes wadau habari za jioni, Hii issue naona bado inaendelea maana PK juzi alikuwa ktk mkutano flani iv bado mzee akaonyesha uwepo wa tatizo na analaumu uongozi wa juu wa UGANDA hasa RAISI lkn pia Rwanda nimesikia imewaambia wanafunzi wa kinyarwanda wanaosoma Uganda wanapaswa kurudia masomo yao Rwanda eti sababu mihula ipo tofauti ...embu tazma hii link uone PK anavyo comment