..Rwanda wamepitisha uamuzi kutumia Kiingereza toka shule za chekechea mpaka chuo kikuu.
..wanadai uamuzi huo ni maandalizi ya kuingia ktk soko la Afrika Mashariki.
..sasa nikajiuliza ni kwanini wasifundishe Kiswahili? labda wameona kuna hasara zake.
..kama wakifundisha Kiswahili watapata hasara/faida gani?
..vilevile, Tanzania tumefaidika vipi kielimu na kiutaalamu kwa ku-adopt Kiswahili kama medium of instruction ktk shule za msingi?
..wanadai uamuzi huo ni maandalizi ya kuingia ktk soko la Afrika Mashariki.
..sasa nikajiuliza ni kwanini wasifundishe Kiswahili? labda wameona kuna hasara zake.
..kama wakifundisha Kiswahili watapata hasara/faida gani?
..vilevile, Tanzania tumefaidika vipi kielimu na kiutaalamu kwa ku-adopt Kiswahili kama medium of instruction ktk shule za msingi?