analysti
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 729
- 612
Hellow JF members!!, Nimepata Kibarua Rwanda, kwakweli ninafurahia kusoma kwangu na ninawashukuru wazazi wangu kwa kunihimiza kusoma na kwa kunifacillitate!!. Ninafanya kazi ktk mazingira mazuri, ninathaminiwa utu na utaalamu wangu, mshahara wangu ni mzuri sana mara tatu ya mshahara wanaolipwa watu wenye taaluma kama yangu hapa TZ. Na zaidi, mhh!! yale mambo yetu yale!! Yani kuna viburudisho bomba mbaya!! watoto wazuri hakuna mfano!!. Any way la msingi, karibuni tufanye kazi!!