Man in the Middle
JF-Expert Member
- Feb 26, 2019
- 478
- 1,029
Bro mungu ndio katupa akili yakufikiri namna yakukabiliana na matatzo tuliyonayo sasa huwez kukaa tuu na kusema unamtegemea mungu unakufuruKijana wewe ni mpuuzi sana! Leo hii unamkejeli Mungu kisa chanjo za hao wanadamu ambao wameumbwa na Mungu mwenywe.
Ila nyinyi siasa zitawapekeka pabaya, kipindi kile napo hivyo hivyo ooh sijui Mungu ana kazi nyingi za kufanya lakini Mungu huyu huyu aliendelea kuwa nasi!
Chunga sana kauli zako kwa Muumba wako!!