Mchekechoni
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 279
- 19
Yaani inaboa sana jinsi Tanesco wanavyotunyanyasa wa-Tanzania na huu mgao wa umeme. Haiingii akilini hata kidogo kwamba majirani zetu wa Afrika Mashariki na Kusini wako ok kabisa, kwao mgao ni ishu ambayo wanaisikia tu kwenye vyombo vya habari ikitusumbua sisi hapa kwetu. Je Tanesco na serikali ya ccm hawana cha kujifunza toka nchi za jirani?