digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,893
- 14,350
Wakuu hamjambo?
Leo katika shughuli zangu za hapa na pale nilikutana na wafuasi wa kiongozi mkuu sana wa CHADEMA ndugu F. Mbowe wakiwa na barua inayowataka kutojihusisha na uchaguzj wa serikali za mitaa,nilipo wauliza vipi mnaonaje maamuzi ya mwenyekiti wetu kuhusu kujitoa katika mpambano walisema hatuna namna Ila kiufupi jamaa hafai maana mara nyingi amekuwa na maamuzi ambayo yana matokeo hasi kwa chama.
Walienda mbali zaidi na kusema kuwa kinachompa kiburi yeye ni ruzuku hivyo kwa maamuzi ya kutoshiriki uchaguzi wa serikali za mitaa yeye hautamwathiri Bali wanaoathirika ni wanachama wa chini ambao kwa namna moja unyekiti wa mitaa,kitongoji au kijiji ni ajira kwao
Rai yangu kwa wafuasi wa CHADEMA ni kuwa wawe makini na mwenyekiti wao maana jahazi linaelekea kuzana kama vipi warudi nyumbani maana kumenoga.na dalili zilizopo sidhani kama mwaka kesho hiki chama kitakuwa na uwakili Bungeni .
Mwisho wa kuwasilisha
Leo katika shughuli zangu za hapa na pale nilikutana na wafuasi wa kiongozi mkuu sana wa CHADEMA ndugu F. Mbowe wakiwa na barua inayowataka kutojihusisha na uchaguzj wa serikali za mitaa,nilipo wauliza vipi mnaonaje maamuzi ya mwenyekiti wetu kuhusu kujitoa katika mpambano walisema hatuna namna Ila kiufupi jamaa hafai maana mara nyingi amekuwa na maamuzi ambayo yana matokeo hasi kwa chama.
Walienda mbali zaidi na kusema kuwa kinachompa kiburi yeye ni ruzuku hivyo kwa maamuzi ya kutoshiriki uchaguzi wa serikali za mitaa yeye hautamwathiri Bali wanaoathirika ni wanachama wa chini ambao kwa namna moja unyekiti wa mitaa,kitongoji au kijiji ni ajira kwao
Rai yangu kwa wafuasi wa CHADEMA ni kuwa wawe makini na mwenyekiti wao maana jahazi linaelekea kuzana kama vipi warudi nyumbani maana kumenoga.na dalili zilizopo sidhani kama mwaka kesho hiki chama kitakuwa na uwakili Bungeni .
Mwisho wa kuwasilisha