tuendelee kujadili
CCM inapata zaidi ya 800 milioni kila mwezi, CDM zaidi ya 200 milioni kila mwezi, CUF zaidi ya 117 milioni kila mwezi
haya mabilioni yanayoungua kila mwezi yanatakiwa yakanunue dawa, yajenge barabara, yakanunue vifaa hospitalini
VYAMA VYA SIASA VISIPEWE RUZUKU!
CCM inapata zaidi ya 800 milioni kila mwezi, CDM zaidi ya 200 milioni kila mwezi, CUF zaidi ya 117 milioni kila mwezi
haya mabilioni yanayoungua kila mwezi yanatakiwa yakanunue dawa, yajenge barabara, yakanunue vifaa hospitalini
VYAMA VYA SIASA VISIPEWE RUZUKU!