hawana la kusema juu la hili, ndio sababu ya kurusha lugha ya kihuni. viongozi na wanachama wote akili moja, yakiwashinda basi lazima walete fujo.Sio makosa yao bali ni akili za vijiweni hizo.Pro-CDM-JF, mpaka wanatia huruma wanashindwa kujenga hoja wanataka kila mtu humu JF, hawe Estimable na CDM. Msiwe na upofu mnatakiwa muwe Breadth