CCM imeshuka kwa ruzuku, huko nyuma ilikuwa inapata Shilingi bilioni moja, lakini sasa inapata Sh. milioni 818.
CCM inapata kiwango hicho, kutokana na kupata asilimia 60.40 ya kura za urais katika uchaguzi huo, ambazo ni sawa na Sh. milioni 354 na asilimia 77 ya wabunge (sawa na Sh. milioni 460) kwa mwezi.
Chama cha Wananchi (CUF) kimepata kiwango kidogo cha mgawo wa ruzuku kulinganisha na Chadema.
Chadema inapata Sh. milioni 203.6, kutokana na kupata asilimia 24 ya kura za urais (sawa na Sh. milioni 146) na asilimia 9.62 ya wabunge (sawa na Sh. milioni milioni 56).
Kutokana na hali hiyo, CUF sasa inapata Sh. milioni 117.4, kutokana na kupata asilimia 9.80 ya kura za urais (sawa na Sh. milioni 57.9) na asilimia 10 ya wabunge (sawa na Sh. milioni 56).
Sanjari na kupata ofisi za wilaya CDM waanze mchakato wa kupata makao makuu ya kudumu ama wajenge au wanunue jengo kama walivyofanya CUF kununua jengo pale Buguruni la gorofa mbili.Ruzuku ni kwa mwezi, si haba CDM sasa tutaweza kujenga makao makuu ya chama kila wilaya hadi ifikapo mwaka 2015 tayari kwa kuchukua nchi.
Peoples power
watu wanawivu wakijinga mbona za ccm anazo lowasa na hatuongei!biashara za mbowe zote zitapona. mnaotaka uenyekiti walahi hapo msahau. mikoani wasahau pesa hakuna
well said I dont know what we are paying for ,it seems there is money for everything except real needs of the peopleTanzania hatutaendelea hata kidogo, hizo hela zingeenda kwenye shughuli za maendeleo ingekuwaje??? Nadhani tungekuwa mbali sana. Billioni moja kwa mwezi, kwa mwaka billioni 12.
wewe ni mbaguzi. CUF ipo na bara ingawa haijapata chochote kama ilivyo chadema znz. Unataka kusema chadema ni chama cha tanzania bara tu?za wengine poa, ila za cuf zinaniuma kwani si cuf si chama cha tz bali cha znz
Natumaini ruzuku hazitakuwa chanzo cha ugomvi ndani ya vyama vya siasa lakini tushukuru mkaguzi mkuu wa mahesabu ya serikali ameanza kufika mpaka huko kugagua vyama vinavyotumia ruzuku visivyo.
za wengine poa, ila za cuf zinaniuma kwani si cuf si chama cha tz bali cha znz
za wengine poa, ila za cuf zinaniuma kwani si cuf si chama cha tz bali cha znz