Ruvuma: Watu nane mbaroni wakidaiwa kufanya ramli chonganishi na kutaka kumtoa mtoto kafara

Influenza

JF-Expert Member
Jul 1, 2018
1,445
3,402
Watuhumiwa hao, Wanne kutoka Mkoani Njombe na wanne kutoka mkoani Ruvuma Wanashikiliwa na Polisi Wilayani Namtumbo kwa kufanya ramli chonganishi na kutaka kumtoa kafara mtoto mdogo

Walikamatwa katika Mlima Mgwijima wakiwa na mtoto mdogo pamoja na vifaa mbalimbali vinavyodaiwa kutumika katika kafara wakiwemo Mbuzi mmoja mweusi, kuku wawili(mmoja mweusi na mwingine mweupe)

Inadaiwa Polisi baada ya kupata taarifa za kiintelijensia walifika katika mlima huo na kuwakamata Watuhumiwa hao ikiwa ni pamoja na Mganga wa Kienyeji, lakini baada ya mahojiano wamekana madai hayo

Awali, mmoja wa Watuhumiwa, Mwanamke ambaye yupo na mtoto huyo akiwa ametokea Njombe, mara tu baada ya kufika Kituo cha Polisi 'alipandisha mashetani' na kuanza kujigaragaza akisema wale wengine hawana makosa ila yeye

Baadaye alipotulia na kuhojiwa alikana madai hayo na kidai kuwa yeye ni mgonjwa, hivyo alioteshwa kutoka Njombe kwenda kwenye mlima huo ili kupona. Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wa tukio hilo
IMG_20190618_132544.jpeg
WhatsApp%20Image%202019-06-18%20at%2002.45.43.jpeg
 
Watuhumiwa hao, Wanne kutoka Mkoani Njombe na wanne kutoka mkoani Ruvuma Wanashikiliwa na Polisi Wilayani Namtumbo kwa kufanya ramli chonganishi na kutaka kumtoa kafara mtoto mdogo

Walikamatwa katika Mlima Mgwijima wakiwa na mtoto mdogo pamoja na vifaa mbalimbali vinavyodaiwa kutumika katika kafara wakiwemo Mbuzi mmoja mweusi, kuku wawili(mmoja mweusi na mwingine mweupe)

Inadaiwa Polisi baada ya kupata taarifa za kiintelijensia walifika katika mlima huo na kuwakamata Watuhumiwa hao ikiwa ni pamoja na Mganga wa Kienyeji, lakini baada ya mahojiano wamekana madai hayo

Awali, mmoja wa Watuhumiwa, Mwanamke ambaye yupo na mtoto huyo akiwa ametokea Njombe, mara tu baada ya kufika Kituo cha Polisi 'alipandisha mashetani' na kuanza kujigaragaza akisema wale wengine hawana makosa ila yeye

Baadaye alipotulia na kuhojiwa alikana madai hayo na kidai kuwa yeye ni mgonjwa, hivyo alioteshwa kutoka Njombe kwenda kwenye mlima huo ili kupona. Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wa tukio hiloView attachment 1130649View attachment 1130650
Mbombo ngafu
 
Watuhumiwa hao, Wanne kutoka Mkoani Njombe na wanne kutoka mkoani Ruvuma Wanashikiliwa na Polisi Wilayani Namtumbo kwa kufanya ramli chonganishi na kutaka kumtoa kafara mtoto mdogo

Walikamatwa katika Mlima Mgwijima wakiwa na mtoto mdogo pamoja na vifaa mbalimbali vinavyodaiwa kutumika katika kafara wakiwemo Mbuzi mmoja mweusi, kuku wawili(mmoja mweusi na mwingine mweupe)

Inadaiwa Polisi baada ya kupata taarifa za kiintelijensia walifika katika mlima huo na kuwakamata Watuhumiwa hao ikiwa ni pamoja na Mganga wa Kienyeji, lakini baada ya mahojiano wamekana madai hayo

Awali, mmoja wa Watuhumiwa, Mwanamke ambaye yupo na mtoto huyo akiwa ametokea Njombe, mara tu baada ya kufika Kituo cha Polisi 'alipandisha mashetani' na kuanza kujigaragaza akisema wale wengine hawana makosa ila yeye

Baadaye alipotulia na kuhojiwa alikana madai hayo na kidai kuwa yeye ni mgonjwa, hivyo alioteshwa kutoka Njombe kwenda kwenye mlima huo ili kupona. Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wa tukio hiloView attachment 1130649View attachment 1130650

Kuna simulizi kwamba eneo hilo lina historia ya vyuo vya uganga na kila namna uchawi kwa miaka mingi; na watu wengi kutoka pande zote Tanzania wanaenda kuhiji kwenye jiwe la maajabu mlima LINOLE.

Inasemekana kulikuwa magwiji mzee Panjapi wa mlima Mginjima na mzee Tiktik mlima Nangelu kama waganga ambao wamerithisha kazi zao kwa wanafunzi wao ambao si maarufu wao waliofutwa na matajiri,wasomi na hata watawala kama viongozi. Alama kubwa ni wakati wa kufariki kwao na umati kada mbalimbali uliodhuria maziko yao ulitoka kila kona ya nchi yetu.

Ukifika Namtumbo na vijiji vyake utaelezwa historia ya Pango lenye Joka kubwa kwenye mlima Linole ambalo linaabudiwa na washirikina kama mungu na kuwapa mahitaji yao waliomsudia kama uchawi, uganga, utajiri, madaraka kama si vyeo nk.
 
Watuhumiwa hao, Wanne kutoka Mkoani Njombe na wanne kutoka mkoani Ruvuma Wanashikiliwa na Polisi Wilayani Namtumbo kwa kufanya ramli chonganishi na kutaka kumtoa kafara mtoto mdogo

Walikamatwa katika Mlima Mgwijima wakiwa na mtoto mdogo pamoja na vifaa mbalimbali vinavyodaiwa kutumika katika kafara wakiwemo Mbuzi mmoja mweusi, kuku wawili(mmoja mweusi na mwingine mweupe)

Inadaiwa Polisi baada ya kupata taarifa za kiintelijensia walifika katika mlima huo na kuwakamata Watuhumiwa hao ikiwa ni pamoja na Mganga wa Kienyeji, lakini baada ya mahojiano wamekana madai hayo

Awali, mmoja wa Watuhumiwa, Mwanamke ambaye yupo na mtoto huyo akiwa ametokea Njombe, mara tu baada ya kufika Kituo cha Polisi 'alipandisha mashetani' na kuanza kujigaragaza akisema wale wengine hawana makosa ila yeye

Baadaye alipotulia na kuhojiwa alikana madai hayo na kidai kuwa yeye ni mgonjwa, hivyo alioteshwa kutoka Njombe kwenda kwenye mlima huo ili kupona. Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wa tukio hiloView attachment 1130649View attachment 1130650
KILA WAKIAMBIWA SHIRKI NI KTK MATENDO YA SHEYTWAANI WAHASIKII, SASA WACHA WAPAMBANE NA DOLA KWA UJINGA WAO. NA WAKIFA KABLA HAWAJATUBIA NI JAHANNAM MILELE TUU
 
Back
Top Bottom