Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,813
- 4,545
Mwanafunzi Monica Ponera wa darasa la 6 Shule ya Msingi Mtumbatimaji Wilaya ya Namtumbo, Ruvuma, amefariki baada ya kufanyika kwa jaribio la kutoa mimba ya Mapacha wawili kwa njia ya kienyeji, inadaiwa Mwanafunzi huyo alipelekwa kwa Mganga wa Jadi na Wazazi wake ili kutoa mimba.
(Picha haihusiani na mwanafunzi aliyefariki)
(Picha haihusiani na mwanafunzi aliyefariki)