mwaki pesile
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 340
- 487
kingine kabla ya kuanza biashara kichaa alikuwa na biashara gani?
Yeah hiki ndicho alikuwa akifanyaanachukua mahindi kwa kukopa na halipi na kwingine anachukua hela ili apeleke mahidi na hapeleki.
kwa hiyo pesa hiyo 1.3b sio yake ni madeni
daah
Style ya biashara yake ilikuwa lazima siku atakwama tuMara ya kwanza alikuwa anawalipa wakulima vizuri tu na hivyo serikali haikuwa na shida nae na akapewa ulinzi.
Baadae kidogo akaanza kuwakopa wakulima, wakulima hawakulipwa na wakaandamana. Hivyo serikali ikaingilia kati kuwanusuru wakulima
Mwisho ndio ikagundulika anatakatisha pesa
Jamaa amewatapelije hao wakulima? mbona nilisikia bado anawalipa.Utakatishaji ni kitendo cha kuchukua fedha isiyo ya halali (wizi, utapeli, n.k) kwenda kuizungusha katika miradi iliyo ya halali...apo unakuwa unaisafisha ile hela ya haramu ionekane ni ya halali...
Ukiangalia hapo huyo jamaa amewatapeli wakulima na kisha ile hela akaenda kuipeleka katika miradi yake kama hotel nk hivo ameitakasa hela ya haramu kuonekana ya halali.
Sent from my iPhone 12 Pro using JamiiForums mobile app
Aliwaingiza kwenye aka wamaliza hakuna pesa ya bureKazingua Kivip?kwani kuna watu wamelizwa?
Ndio mkuu pengine alikuwa anapenyeza Cash chafu kwenye mzunguko mfano ananuanua mahindi na hela chafu then anauza na kupata Pesa safiKumbe kufanya biashara kwa hasara ndiyo kutakatisha pesa!!
Hapo kosa ni uhujumu uchumi kwa kuendesha ‘DECI’, pia na utapeli unaangukia humo humoSasa hapo anatakatishaje?
Pesa za utapeli unapoenda kununulia mashamba, magari, na kujenga nyumba ndio kuzitakatisha maana unaziingiza katika mfumo wa mali ambazo unaweza ukaziuza na ukaingiziwa malipo benki na zikapokelewa kwenye akaunti yako kama pesa safi na halali za mauzo halali ya kiwanja, nyumba au gari lako. Na hapo unakua umetakasa pesa chafu. Umeelewa au nirudie?Ufafanuzi pliz,, anatakatishaje hizo fedha ?
Mitelemko ganda la ndizi kunapunguza kufikiri kwa kina kifupi ilikuwa ni michezo ya kitoto kwa watu wazima nao wakakubali kucheza.Kuchelewa kuishtukia Ile picha ilikuwa ni matumizi mabaya kabisa ya ubongo, na ndio tatizo letu kubwa blacks!
Jamaa ananunua mahindi kwa shilingi 72000 taslim anauza kwa sh 42000 pesa ya Tanzania, Kuna biashara hapo? Kuna tofauti gani na deci amabyo watu walikuwa wakipanda mbegu za pesa wakitegemea zitaota pesa mtoto na kukuwa ?
Wengi nahisi watakuwa wamelizwa maana hawakujiuliza logic ya Ile biashara
Ile ni DECI, mapato hutokana na wajinga wapya wanaoingiaYeye alikuwa anafanya biashara ya hasara tu na sio faida, ananunua mzigo bei ya juu anauza bei ya chini
Hakuna biashara ya hasara, labda kama kuna jina lingine lakini sifa za biashara ni kupata faida hata kama ni senti moja.Kumbe kufanya biashara kwa hasara ndiyo kutakatisha pesa!!
TrueHakuna biashara ya hasara, labda kama kuna jina lingine lakini sifa za biashara ni kupata faida hata kama ni senti moja.
Kupata hasara ni ajali na kamwe si lengo. Hasara haipaswi kuwa sehemu ya biashara.Kwa hiyo ukipata hasara hiyo ni biiashara.
Ndio maana biashara ina pande ya faida na hasara.
Biashara ni kuuza na kununua.
Biashara inafaida na hasara.
Billions 1.3 Bwana Mahindi
Billions 17 Mr Kuku
Tanzania Ni Tajiri!!
Bado Deci Bitcoin, Forex
umeeleweka mkuu!,, asante kwa ufafanuziPesa za utapeli unapoenda kununulia mashamba, magari, na kujenga nyumba ndio kuzitakatisha maana unaziingiza katika mfumo wa mali ambazo unaweza ukaziuza na ukaingiziwa malipo benki na zikapokelewa kwenye akaunti yako kama pesa safi na halali za mauzo halali ya kiwanja, nyumba au gari lako. Na hapo unakua umetakasa pesa chafu. Umeelewa au nirudie?