Nguruwe ni mtu,na Hana ukimwiNyie ndo mnabaka nguruwe huko Tabora...
Natania.
Kibu ni Bonge la forward. Watu wengi humu hawajui mpira ndugu.Mnao mlaumu kibu sijawaelewa hata kidogo, heko kwa golikipa makaka well done amewaokoa sana ruvu leo
Hana levo za kuchezea simba labda timu za mkoaniKibu ni Bonge la forward. Watu wengi humu hawajui mpira ndugu.
Erasto nyoni ni wa kuacha tu pale katikati hajasaidia kitu bora yule kijana abdswamandi wa kagera angecheza na mkudeHalafu simba wamepoa sana kipindi cha pili,tatizo Ni nini hasa aisee
Halafu ndiye aliyemsajili CHAMAaliyemsajili Kibu ni mpumbavu wa muda wote
atajijua mwenyeweHalafu ndiye aliyemsajili CHAMA
Mkuu OKW BOBAN SUNZU nipe tathmini fupi kwa hizi game 6 ambazo mnyama mpaka sasa alizocheza.atajijua mwenyewe
Kibu ananguvu ball control anachokosa ni utulivu tunilichokigundua kibu ni mugalu mwenye rasta
Mechi ijayo wacheze na Mugalu tuoneKibu ananguvu ball control anachokosa ni utulivu tu