mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 7,841
- 3,476
hata dhambi zikiwa ni nyekundu, ukifanya toba unasamehewa, kumbuka bwana ni mwingi wa rehema na si mwepesi wa hasiraWell done pastor.
Ila dhambi ya kinyume na maumbile inasameheka?
hata dhambi zikiwa ni nyekundu, ukifanya toba unasamehewa, kumbuka bwana ni mwingi wa rehema na si mwepesi wa hasiraWell done pastor.
Ila dhambi ya kinyume na maumbile inasameheka?
Na vipi yule jamaa mwenye kiherehere anaitwa JAMHURI?
Yupo lakin hapa hujagusa maslah yake, kitu cha kuogopa sana katika dunia ya leo ni kuingilia maslah ya mtu/kikundi flan zaidi ya kuvunja sheria.Mlalamikaji yupo!
Nilikuwa kijijini kwetu kasongoWewe ulikuwa nje ya nchi? Jana walikuwa mahakamani na James Mtamu.
duuuuuuh Sawa mkuuTujiandae kualikwa kwenye ibada ya kutubu na kuombewa kwa kina amba ruty. Waumini muje na swadaka itakayompendeza Mungu
Eeh ndo huyu huyu kila siku asubuhi anakuwa pale Mbezi stand anahubiri.huyu si ndiyo Yule.anajiita komandoo Mashimo.mchungaji wa mitume na manabii wote?
Yule aliyesema ataweka maombi maalumu kwa ajili ya wema? au siyo huyu?
Ngoja nimtafute wikiend hii nikampooze machungu alioyapataKilichobakia ni wao kujitathimini sasa na kubadilika sababu mchungaji kaifanya kazi yake kwa kuonyesha yupo kwa ajili ya watu wote.