mswaki mbuyu
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 392
- 332
Itakua wamekuja na mizuka zaidi maana wamemiss hako kamchezo wakifika nymbn tu cha kwnz ndo ichoDuh kumbe bado walikuwa selo?watakuwa wamejifunza kama sio kukoma kabisa.
Itakua wamekuja na mizuka zaidi maana wamemiss hako kamchezo wakifika nymbn tu cha kwnz ndo ichoDuh kumbe bado walikuwa selo?watakuwa wamejifunza kama sio kukoma kabisa.
SanaKwa hiyo mchungaji nae zile video aliziangalia..
Watu wamewekewa taarifa lakini bado wanapotosha, Amber Rutty kadhaminiwa na Salma Omary na Asha Bakari, mchungaji amemdhamini mpenzi wake.Naukumbuka mfano wa YULE mwanamke kahaba aliyefumaniwa na akatakiwa kupigwa mawe hadi kufa. YESU aliwaambia asiye na dhambi na awe wa kwanza kurusha mawe..... wote walisambaratika. Binafsi nampa pongezi mchungaji.... hakuna aliyekamilika.
Huyo mchungaji anatafuta kiki, sawa tutaenda kanisani kwake na sadaka asijali
MmmmmhHata hivyo walivyokaa selo muda mrefu, inaweza kuwafanya wasitamani tena kale kamchezo
Exactly!potelea mbali.
potelea Nairobimchungaji kaona fursa
huo mchezo usikie tu vigumu sana kuacha ukishanogewaDuh kumbe bado walikuwa selo?watakuwa wamejifunza kama sio kukoma kabisa.
Ndo nilitaka kuuliza... kwamba, ina maana sijui kusoma vizuri au vipi manake taarifa inaonesha wazi kwamba Amber Rutty amedhaminiwa na mama zake wadogo na Mchungaji kamdhamini basha wake Rutty!Watu wamewekewa taarifa lakini bado wanapotosha, Amber Rutty kadhaminiwa na Salma Omary na Asha Bakari, mchungaji amemdhamini mpenzi wake.
Sema unatania tu...Hata hivyo walivyokaa selo muda mrefu, inaweza kuwafanya wasitamani tena kale kamchezo
Mlalamikaji yupo!Mara nying ukipata dhamana kwa kesi ambayo hakuna mtu maalum anayekushtak. Basi hapo ndo mwisho wa kesi, kimbembe kue na mfuatiliaji
Hahaha ila watanzania jamaniiii, mbingu mtainusa harufu tu. lolPicha linaanza mchungaji anaitwa bwana mashimo.
Na vipi yule jamaa mwenye kiherehere anaitwa JAMHURI?Mara nying ukipata dhamana kwa kesi ambayo hakuna mtu maalum anayekushtak. Basi hapo ndo mwisho wa kesi, kimbembe kue na mfuatiliaji