johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Rais mteule wa Kenya Dkt. Ruto amesema atabadilisha sheria ili Mawaziri wawe wanaingia Bungeni na kuelezea hoja za serikali na Kujibu maswali ya Wabunge
Ruto alikuwa anaongea na washindi wa muunganiko wa Kenya Kwanza
Chanzo: Citizen tv
Ruto alikuwa anaongea na washindi wa muunganiko wa Kenya Kwanza
Chanzo: Citizen tv