Ruto Backs Mudavadi For Dep-PM!!!

IS HE NOT GOING TO START ANOTHER CHAOS IF HIS DREAMS NOT COME TRUE...?
 
Ni kweli kabisa kenya ingekuwa na viongozi angalao kumi kama huyu mambo yangebadilika kwa kiasi kikubwa sana. Hakuna kitu muhimu kama sacrifice unapotokea utata.
 
Ni kweli kabisa kenya ingekuwa na viongozi angalao kumi kama huyu mambo yangebadilika kwa kiasi kikubwa sana. Hakuna kitu muhimu kama sacrifice unapotokea utata.

Wala hujakosea mkuu nesindiso sir,

Huyu bwana mimi amenishangaza sana maana nilikua natarajia
ataleta za kuleta iwapo hatopewa cheo cha naibu wa Waziri Mkuu.
Jamaa zake(wakalenjin) walimpa Raila kura man to man na ungedhani
Raila ni wa kwao.Lakini jamaa kanyenyekea na kuchukua 'back seat'
huku akiwaambia waosha vinywa kua ODM is not about seats but delivery...kudadeki jamani!!!

http://www.youtube.com/watch?v=ntvMoxb3iiU&feature=user


Heko Bwana Ruto tunakusubiri 2012!​
 
Back
Top Bottom