Rutabo Sec School, Muleba- Kagera, naomba kufahamu haya

Domhome

JF-Expert Member
Jun 28, 2010
3,197
3,930
Salaam,
Kijana wangu Kachaguliwa Kujiunga Kidato Cha tano Shule hii Kusomea Mchepuo wa HKL.....

Kama Kuna yeyote anae ifahamu while hii anisaidie yafuatayo:
1. Je, shule ni ya mchanganyiko?
2. Sare zao ni zipi...
3. Ubora wa shule kielimu....
4. Ada kwa shule za serikali.....
5. Je, kufika Muleba ni lazima ufike Bukoba mjini?
6.Matokeo ya kidato cha 6 mwaka huu kwa shule hii....

Ntashukuru Kupata japi dondoo za shule hii kabla sijampeleka mwanangu..
 
Mkuu Google, baadhi ya detail unaweza kuzipata kama vile matokeo ya kidato cha sita, sare, n.k
 
Kuhusu mahali ilipo unafika muleba mjini then unapanda gari ya bkb unashukia mutwe then unasubilia gari za ktoka bkb znazoenda kamachumu unapanda unaenda hd kamachumu senta then utaelekezwa way to rutabo
 
Kuhusu mahali ilipo unafika muleba mjini then unapanda gari ya bkb unashukia mutwe then unasubilia gari za ktoka bkb znazoenda kamachumu unapanda unaenda hd kamachumu senta then utaelekezwa way to rutabo
Asante Mkuu...maelekezo safii kabisa
 
Shule mchanganyiko, mimi ni mwalm wa historia shuleni hapo.
Mwalimu pia mm nimechaguliwa kujiunga na kidato cha tano hapo kwa combination ya HHGK.naomba kuulza baadh ya maswal.umesema shule n mixture,je ni advance tu au kuna O'level?,pia naomba unipe location.natokea arusha,loliondo,samunge kwa babu ka uliwahi fika au kusikia.na ntapataje joining instructions??
 
Mwalimu pia mm nimechaguliwa kujiunga na kidato cha tano hapo kwa combination ya HHGK.naomba kuulza baadh ya maswal.umesema shule n mixture,je ni advance tu au kuna O'level?,pia naomba unipe location.natokea arusha,loliondo,samunge kwa babu ka uliwahi fika au kusikia.na ntapataje joining instructions??
Kiongozi ukipata join instruction, tujulishane kwani Kijana wangu kachaguliwa kwenda hapo F5...
 
Back
Top Bottom