profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,481
- 3,122
bunge la marekani,linapinga sana uwekezaji kwenye hizo,, carriers,,maana itakuwa ndio target kubwa ya adui kushambulia na kuiandama kwa nguvu zote...Wachina nao wana invest Billions of US $ kwenye carriers,nao watakuwa vichaa tu kama wamarekani...
Sent using Jamii Forums mobile app