Russia yalazimika kuuza mafuta kwa bei ya promotion

Kuweni wapole tu na mkubali ukweli Putin alikurupuka.
Putin mkurupukaji kama Jiwe,yule jamaa angeendelea kuwepo sijui Tanzania ingekuwa wapi.Vita yeyote Ili ushinde inatakiwa upate support Toka Kwa wananchi wa nchi husika.Nyerere alimshinda Amin Sio sababu ya uimara wa JWTZ tu bali alipata pia support ya wananchi wa Uganda,kina Museven.Putin amevamia Ukraine amekuta wananchi wa Taifa Hilo wana uzalendo wa hatari.Askari wa Putin wengi wameuwawa ,kutekwa na kutelekeza vifaru na magari ya kivita🤔
 
India anakuwa dalali tu nayeye anayauza tu kwa kificho,kama anavyofanya mchina ananunua kwa dhahabu irani then yeye anayauza 🤣🤣
 
Wengi wenu humu hamujui vita,unafikiri hao Ukraine wenyewe ni wanawake hawawezi kupiga,mkitaka kujua vita ni ngumu waulizeni Nigeria na boko haram. Ulizeni Ethiopia na tigray,ulizeni drc kongo na waasi wa mashariki,hao ni serikali wenye kila kitu.
 
Wajuvi waliwahi kusema "Kitu cha kwanza kuathirika kwenye Vita ni ukweli. Ukweli huaribiwa Sana na propaganda."

Taarifa nyingi kuhusu Vita hii zinatolewa na vyombo vya habari vya magharibi. Nchi ambazo haziko neutral kwenye vita hii. Zina upande, zipo against Russia.

Usitegemee kupata habar nzuri/njema kuhusu russia kutoka VoA, BBC, DEUTCH WELLE, Washington post Wala New York times mkuu.
Kwa hiyo habari nzuri tuzipate wapi ambapo hawatii chumvi.
 
Nadhani watu wanakuwa Myopic sana...

Kama Russia ataungwa mkono na India (Soko) na pia China (Soko) hapo ni bye bye USA sababu kina Iran na baadhi ya nchi watakuwa nyuma yao....

It took cold war decades...., na haya mambo zaidi ya mitutu kwenye uwanja na maisha ya Ukraine yanaweza yakabadilisha the economic pendulum....

The Butterfly effect..., a small change here and now can have massive effects over there and then...
You people why are you so dull to understand?

You ought to understand that when you choose to transact with another financial system other than SWIFT, you're not eligible to use SWIFT once again and you're automatically cut off from trading with the majority of countries something most countries would like to avoid,
 
Ndiyo nazungumzia sasa, kumbe wewe unapiga ramli?! Mie siko hapa kupiga ramli. Lakini inatakiwa ujue kwamba mchina anafaidika zaidi na biashara baina yake na US kuliko Ile ya Urusi+India+ Afrika+Iran kwa pamoja, achilia mbali biashara kati ya china na ulaya.
Waambie bwana watu humu ni wagumu sana kuelewa, watanzania wanapenda mno kukariri mambo.

Ukishaondoka kwenye SWIFT basi huwezi kufanya tena biashara na nchi za magharibi. Marekani akili nyingi aliishaliona hilo kabla wengi humu hawajazaliwa.

China piga ua, hawezi kuondoka kwenye SWIFT eti amfuate Russia na ndio mfumo uliyomtajirisha, mnafikiri China ni mjinga kama mswahili. Russia yeye amejichimbia kaburi na anatafuta wa kuzikwa naye.:D:D:D
 
Back
Top Bottom