MTZ 255Dar
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 1,114
- 3,768
Wewe kweli ndio Mpumbavu kabisa,yaani hata ulichoposti hujakisoma. Tarehe 13 March 2022 ilikuwa Kabla ya Vita? Urusi kavamia Ukraine tarehe 24 Februari 2022. Hicho kijihabari chako Cha Urusi kutoa punguzo la Bei kwa Serbia kinaonesha ilikuwa tarehe 13 mwezi March ambayo ni Jana TU . Pro Russia anzeni Donation kumchangia Putin hela ya kurndesha Vita.Hizo ofa hata kabla ya vita mrusi alishaanza kuzitoa kwa baadhi ya mataifa..........kuna huyu mpumbavu mwengine anakumbuka shuka asubuhiView attachment 2150321View attachment 2150322