profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,484
- 3,127
wadau na mashabiki wa russia,naona mambo yanazidi kunoga,watu walikuwa na hofu sana na s400,ambayo inapiga mpaka km 400,sasa s500,inapiga km 600,sasa sijui wale wanaotegemea meli kurusha ndege,vinaweza kuzamishwa vyote,Russia hatari sana,sema hajitangazi sana na hana mbwembwe kama bwana yule..