Russia Vs Ukraine hakuna mshindi wa Vita ila kwa Haraka Urusi amepoteza in reality

Mkuu, pesa iko string sana. Walichokifanya Russia ni kuishusha kidogo thamani kwa sababu kadri ilivyokuwa ikiimarika inakuwa mzigo mzito kwa serikali na wananchi. Kwa hiyo hapo ilipo iki vizuri sana. Jiulize ghafla tu ukiamka kesho ukuta usd 1 ñi sawa na Tshs 1000, unajua uchumi utayumba?

Swali ambalo nimeliina leo wachumi wengi huko majuu wanajadili: kwa nini benki za Russia hazifilisiki? Wenye uchumi imara mabenki yanakufa, wenye vikwazo kila kona benki zao ziko imara. Fuatilia PETRODOLLAR
Yaani Russia ameishusha thamani pesa yake? Mkitukanwa mtasema mnaonewa.
 
Mkuu kwa akili yako yote tangu uzaliwe??

Vita inapiganiwa Nyumbani kwako , ardhi yako, yanabomoka majengo yako, watu wako na miundo mbinu vinaharibika na wanajeshi wako wanakufa bado useme Russia ndo kapoteza??
mwenzetu una kichwa kweli??

haya angalia hesabu ndogo

Hasara ya Ukraine = Jeshi + Raia + Miundo mbinu + Mazao na mifugo + Miji na makazi + siraha + Uchumi

Hasara ya Russia = Jeshi + silaha

Russia mambo yakiwashinda wanarudi kwao. Ukraine kwao kumeharibika, na kila kitu kinaanza upya kifupi hawana option
ni ngumu kuelewa kivip Russia kaferi , wenzio wanajiandaa na mtihani wa acsee wewe upo busy kudiscus mambo ya NECTA , hapo ukiambiwa unaferi unajua kwann ?
 
Tatizo huwa mnatazama habari kupitia Sky news, BBC, CNN, na vibaraka wao. Tazama na RT news au CGTN news uone story zenyewe za kinachoendelea.

Marekani ukitaka kumjua ni mzee wa propaganda na habari za kupika katazame hali ya Libya, Iraq, sehemu ambazo aliingia na kuvuruga kisha kusema patakuwa salama na Maisha bora. Nenda katazame kinachoendelea utapata picha kamili ya nini kinachoendelea huko pahala halafu linganisha na kinachoendelea kwenye Media hizo za magharibi ndio utajua usanii ni mwingi.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom