Yaani Russia ameishusha thamani pesa yake? Mkitukanwa mtasema mnaonewa.Mkuu, pesa iko string sana. Walichokifanya Russia ni kuishusha kidogo thamani kwa sababu kadri ilivyokuwa ikiimarika inakuwa mzigo mzito kwa serikali na wananchi. Kwa hiyo hapo ilipo iki vizuri sana. Jiulize ghafla tu ukiamka kesho ukuta usd 1 ñi sawa na Tshs 1000, unajua uchumi utayumba?
Swali ambalo nimeliina leo wachumi wengi huko majuu wanajadili: kwa nini benki za Russia hazifilisiki? Wenye uchumi imara mabenki yanakufa, wenye vikwazo kila kona benki zao ziko imara. Fuatilia PETRODOLLAR