MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 20,897
- 63,783
Huko Moscow leo Raisi Vladmir Putin alikuwa ameenda kutoa Heshima kwenye kaburi la wanajeshi wa Urusi waliokufa kwenye Vita vya pili vya dunia. Sasa alienda kuweka shahada la maua na moja ya nyimbo za taifa za Urusi ya Kisovyeti zilianza kupigwa ghafla mvua ikaanza kuanguka.
Jamaa akaganda tu bila kuondoka pale hadi wimbo unaisha ndiyo akarudi kuchukua mwamvuli.
CC: Bukyanagandi
Jamaa akaganda tu bila kuondoka pale hadi wimbo unaisha ndiyo akarudi kuchukua mwamvuli.
CC: Bukyanagandi