simba jike
Senior Member
- Mar 23, 2017
- 182
- 535
Hapa ndipo ninapowachukia marais wa kiafrika.... Mwanaume katulia kama hamna kilichotokea
Mkuu Afrika wanajua kuchumia tumbo tuu.Hapa ndipo ninapowachukia marais wa kiafrika.... Mwanaume katulia kama hamna kilichotokea
Hahahahahahahahahahaha hahahahahaahivi kwann lakini unanichekesha namna hiyo? Unajua nina mgonjwa muhimbiliIngekuwa kwenye nchi yetu tungeandamana kumpongeza raisi
Ungekuta dodoma geita tupo njiani na mabango katiba ibadilishwe raisi atawale milele kafanya jambo la kizalendo sanaHahahahahahahahahahaha hahahahahaahivi kwann lakini unanichekesha namna hiyo? Unajua nina mgonjwa muhimbili
Syo viongozi wenu matumbo makubwa afya mgogoroBavicha wanafikiri kunyeshewa na mvua ndio uzalendo.
We nawe vipi mkuu,,,unaanza kupagawa nini??mbona unamuuliza maswali mwenzio ya kipuuziHivi Roma Mkatoliki aliokotwa wapi vile Mkuu?
Si mgonjwa!!ANGEKUWA WA MAGOGONI ANGEPELEKEWA MWAMVULI AU KUONGOZWA KUELEKEA JUKWAA KUU.
We nawe vipi mkuu,,,unaanza kupagawa nini??mbona unamuuliza maswali mwenzio ya kipuuzi
Mkuu umetisha sana✔Vladmir Putin-Nakumbuka ile Kauli yake ya kwamba Kuhukumu Magaidi ni Kazi ya Mungu ila Yeye atawatuma kwake!
Hahahahaa uyo jamaa anatisha saanaMkuu umetisha sana✔
Nadhani akili zako zilizoshindwa kunielewa kwanini nimemuuliza hilo swali ndizo za Kipuuzi. Halafu punguza kunizoea Mkuu sawa?