Mbona povu linakutiririka ndugu! We uliyotengeneza ikowapi? Acha dharau USA mwenyewe hataki watu wanunue hizo S-400 anaogopa atapoteza soko la silaha zake, ila wewe ambaye uko Tz unatokwa na povu kali utazani na wewe ni mshindani wa Russia.Hiyo sijui S-400 imeshafanya nini mbona hatujawahi kuona chochote.
Hizo ni Expensive Toys tu ambazo hao Russians wanatumia kujikwamua na hali ngumu ya uchumi kufuatia vikwazo walivyowekewa na nchi za magharibi. Hamna kitu hapo.
Kwa hiyo wewe una hisa asilimia ngapi kwenye hizo pipa za S-400.Mbona povu linakutiririka ndugu! We uliyotengeneza ikowapi? Acha dharau USA mwenyewe hataki watu wanunue hizo S-400 anaogopa atapoteza soko la silaha zake, ila wewe ambaye uko Tz unatokwa na povu kali utazani na wewe ni mshindani wa Russia.
Hiyo sijui S-400 imeshafanya nini mbona hatujawahi kuona chochote.
Hizo ni Expensive Toys tu ambazo hao Russians wanatumia kujikwamua na hali ngumu ya uchumi kufuatia vikwazo walivyowekewa na nchi za magharibi. Hamna kitu hapo.
zingetengenezwa na muisrael ndo ungezisifiaHiyo sijui S-400 imeshafanya nini mbona hatujawahi kuona chochote.
Hizo ni Expensive Toys tu ambazo hao Russians wanatumia kujikwamua na hali ngumu ya uchumi kufuatia vikwazo walivyowekewa na nchi za magharibi. Hamna kitu hapo.
That sarcasm is nonsense.zingetengenezwa na muisrael ndo ungezisifia
mkuu ugoro unakupeleka puta Sana...Hiyo sijui S-400 imeshafanya nini mbona hatujawahi kuona chochote.
Hizo ni Expensive Toys tu ambazo hao Russians wanatumia kujikwamua na hali ngumu ya uchumi kufuatia vikwazo walivyowekewa na nchi za magharibi. Hamna kitu hapo.
Na marekani akija ona siku hii inauzwa atachanganyikiwa kabisa.View attachment 1141797
Au na mjomba wake!zingetengenezwa na muisrael ndo ungezisifia
Unaijua s-400 vizur sanaHiyo sijui S-400 imeshafanya nini mbona hatujawahi kuona chochote.
Hizo ni Expensive Toys tu ambazo hao Russians wanatumia kujikwamua na hali ngumu ya uchumi kufuatia vikwazo walivyowekewa na nchi za magharibi. Hamna kitu hapo.