Andrew Kellei
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 348
- 123
Wadau bado lile wimbi la mauji ya wanafunzi wa kiafrika hasa wenye ngozi nyeusi wanaosoma Urusi linaendelea.Baada ya kuripotiwa mauaji ya mwanafunzi kutoka Zambia na baadaye Nigeria,sasa hivi yamaripotiwa mauaji ya mwanafunzi wa kutoka Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo aliyekua anasoma mwaka wa tano katika Chuo Kikuu Cha Ufundi (DGTU)cha mjini Rostov na Danu.Mwanafunzi huyo anayejulikana kwa jina la Tressor Monga amekutwa amekufa katika mji mdogo uliokaribu na Rostov unaoitwa Bataiski.
Kwa mnaoelewa kirusi mnaweza kufuatilia hii site hapa chini.
Ð ÐаÑайÑке погиб ÑÑÑÐ´ÐµÐ½Ñ Ð¸Ð· Ðонго В Батайске погиб студент из Конго
www.donnews.ru
Kwa mnaoelewa kirusi mnaweza kufuatilia hii site hapa chini.
Ð ÐаÑайÑке погиб ÑÑÑÐ´ÐµÐ½Ñ Ð¸Ð· Ðонго В Батайске погиб студент из Конго
www.donnews.ru