Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #41
AmenTanzania ni yetu tuipende kwa moyo
AmenTanzania ni yetu tuipende kwa moyo
22 Oct 2018
Nairobi, Kenya
Balozi wa Japan humu nchini Toshitsugu Uesawa ajivunia kuzungumnza Kiswahili sanifu licha ya kujifunza lugha hiyo miaka arobaini iliyopita huko Tanzania.
Source: Citizen TV Kenya
Matangazo mubashara toka ubalozi wa Marekani tunaye mwakilishi wa USAID Tanzania Bw. Andrew Karas akifafanua masuala mbalimbali
Source: USEmbassyTZ
Achana naye na mpuuze kabisaDu! tusamee ndugu maana sio kwa matusi hayo
Kwa komenti hizi katika uzi huu kuanzia leo nimepoteza imani na wewe kabisa.Wewe sio mwenzetu kabisa.lazima utakua upende ule.Ile nyumba inayotazamana na ya mzee Juma.
Da!Putin alitoa mafunzo ya ukachero kwa Tanzania, Frelimo na Angola.
Lol !Tena wakati huo alikuwa Ujerumani Mashariki kama mwanadiplomasia wa Kirusi na mkalimani wa Kirusi kwa Kijerumani.
A level alipata A katika Kijerumani. Ni mzuri sana kwa lugha.
Masalaale!Afrika alikuja tu kwa safari za muda mfupi.
Aisee!,wewe,noma,wewe sio mtu wa kawaida.Ile nyumba inayotazamana na ya mzee Juma.
Nina suggest Kiswahili kiwakilishwe na bendera ya Tanzania.Kwenye baadhi ya softiwea huwa pana uchaguzi wa lugha mbalimbali, kila lugha ikiwakilishwa na bendera ya nchi lugha hiyo izungumzwapo sana. Kiswahili kwa kawaida huwakilishwa na bendera ya nchi ipi? Hili ni eneo la kuliangalia nalo.
Yes. Nimehamia kwa Vodacom kwa maana they owe me something in return.Sikuhizi umeacha kufunga mada na NSSF, umehamia kwa Voda?
Ok ok utujulishe mwenendo wa kesi. Vipi CRDB ma wenyewe wanaendeleaje?Yes. Nimehamia kwa Vodacom kwa maana they owe me something in return.
Umeona eeeeh. Dada yupo vizuri sana huyuKwa komenti hizi katika uzi huu kuanzia leo nimepoteza imani na wewe kabisa.Wewe sio mwenzetu kabisa.lazima utakua upende ule.
Nitakujulisha kila kitu mkuu. Tena nitaandika humu humu JFOk ok utujulishe mwenendo wa kesi. Vipi CRDB ma wenyewe wanaendeleaje?
Huyu Sky Eclat anajua mambo mazito sana huyu,aweza kua Corp mwema huyu.Umeona eeeeh. Dada yupo vizuri sana huyu
ProbablyHuyu Sky Eclat anajua mambo mazito sana huyu,aweza kua Corp mwema huyu.
Wenzetu wanasain nyuklia deal nyie mnaleta kiswahili ambacho hamna haki miliki yake sawa mnatanua wigo wakati TZ wengi insiders tofauti na nchi zingine mnafanya promo Kenya watapiga hela tuShikamooni wakubwa zangu wote wa humu jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
UTANGULIZI
==========
Kwa kawaida idara ya ujasusi ya KGB ilikuwa ikiongozwa na wanajeshi wa vyeo vya Majorr Generals tu tangu kuanzishwa kwake ila Vladmir Putin kabla ya kuwa Rais wa Russia alikuwa ndiye boss wa kwanza wa KGB akiwa na cheo cha Lieutenant Colonel na haijawahi kutokea tena mpaka leo hii.
Probably alijifunza Kiswahili ile "basics" alipokuwa anafundisha maofisa wetu enzi zile za Mwalimu Nyerere, wakati huo Putin akiwa bado ofisa mdogo sana tena wa ngazi za chini kwenye idara hiyo ya ujasusi wa jeshi la USSR.
Baadae akaja akawa resident spy/station chief wa KGB huko jijini Dresden East German akiratibu shughuli (liaison officer) za idara ya usalama ya East German iliyokuwa inaitwa Staatssicherhei (Stasi) pamoja na zile za KGB.
BACK TO THE TOPIC
=================
Mheshimiwa Majaliwa angemzawadia Rais. Putin vitabu vya kujifunzia Kiswahili ingeweza kuitangaza vema Tanzania na lugha yetu?
View attachment 1245467
Picha hapo chini ni Mh. Rais Dk. JP Magufuli akiwa na Waziri wa mashauri ya kigeni Prof. Kabudi wakikabidhi vitabu vya kiswahili kwa Rais wa Jamuhuri ya Afrika ya Kusini Mh. Ramaphosa katika harakati ya kuhakikisha lugha hii tamu inakuwa na kuenea kwa haraka zaidi nje ya mipaka ya Tanzania na Afrika ya Mashariki.
View attachment 1245468
View attachment 1245473
Nimeuliza hivi kwa maana kwamba unapomzungumzia Vladmir Putin unakuwa umezungumzia one of the most powerful men in the world na unapoongelea Russia unakuwa umeongelea moja katika ya nchi 5 zenye ushawishi mkubwa sana duniani kisiasa na hata kiuchumi.
Kama tumeweza kumshawishi ndugu yetu Ramaphosa kujifunza kuzungumza kiswahili walau kile cha msingi tu, basi tunaweza pia kushawishi baadhi ya viongozi wakuu kabisa wa dunia katika kujifunza lugha hii adhimu kabisa na fahari yetu sisi watanzania.
KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
VODACOM MMEIBA IDEA YANGU.
Hatimaye Vodacom Tanzania wametekeleza "constructive idea" yangu niliyoandika humu JF. They were, at least, supposed to acknowledge my intellect
Hatimaye Vodacom Tanzania wametekeleza "constructive idea" yangu niliyoandika humu JF. They were, at least, supposed to acknowledge my intellectual endeavor. ORIGINAL THREAD HII HAPA NILIIANDIKA OCTOBER 21 MWAKA 2018. Screenshot hapo juu ni user interface ya Vodacom M-pesa. Shikamooni...www.jamiiforums.com
Swali zuri sana piaKwenye baadhi ya softiwea huwa pana uchaguzi wa lugha mbalimbali, kila lugha ikiwakilishwa na bendera ya nchi lugha hiyo izungumzwapo sana. Kiswahili kwa kawaida huwakilishwa na bendera ya nchi ipi? Hili ni eneo la kuliangalia nalo.
AbsolutelyAfrika alikuja tu kwa safari za muda mfupi.