Russia-Africa Summit: Majaliwa angemzawadia Rais Putin vitabu vya kujifunzia Kiswahili ingeweza kuitangaza vema lugha yetu

Hicho kiswahili chenu mtakieneza kwenye hizo hizo shit hole countries zenu mnazoitwa kwa mafungu kupewa ahadi za msaada.
Sio Urusi, angempa angevichukua na kuvitupa kwenye dustbin

Maana mmezidi kuwa kama malaya, mnaitwa na Marekani wote mnaenda, EU wote mnaenda, China wote mnaenda, Urusi wote mnaenda, sasa watu mnaoitwa kwq mafungu mafungu hivi nani ajifunze lugha yako, ili iweje?
 
Hicho kiswahili chenu mtakieneza kwenye hizo hizo shit hole countries zenu mnazoitwa kwa mafungu kupewa ahadi za msaada.
Sio Urusi, angempa angevichukua na kuvitupa kwenye dustbin

Maana mmezidi kuwa kama malaya, mnaitwa na Marekani wote mnaenda, EU wote mnaenda, China wote mnaenda, Urusi wote mnaenda, sasa watu mnaoitwa kwq mafungu mafungu hivi nani ajifunze lugha yako, ili iweje?
Du! tusamee ndugu maana sio kwa matusi hayo
 
Hicho kiswahili chenu mtakieneza kwenye hizo hizo shit hole countries zenu mnazoitwa kwa mafungu kupewa ahadi za msaada.
Sio Urusi, angempa angevichukua na kuvitupa kwenye dustbin

Maana mmezidi kuwa kama malaya, mnaitwa na Marekani wote mnaenda, EU wote mnaenda, China wote mnaenda, Urusi wote mnaenda, sasa watu mnaoitwa kwq mafungu mafungu hivi nani ajifunze lugha yako, ili iweje?
Kweli mkuu
 
Moscow, Russia

Mataifa makubwa kama Russia n.k kupitia taasisi / vyombo vyao tayari walishajifunza Kiswahili kitambo na wakitaka kutuma watu wao ktk nchi zinazozungumza Kiswahili watawafundisha huko huko kabla hawajakanyaga DR Congo au Tanganyika. Msikilize huyu Vladimir akitoa hotuba yake mjini Moscow kwa kiswahili

20 Nov 2011
Profesa Vladimir Ovchinikov atoa mada kuhusu lugha ya Kiswahili katika miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara na uhusiano wa Kidiplomasia kati ya Tanzania na Urusi katika Mkutano wa Chama cha Kiswahili cha Moscow uliofanyika Ubalozi wa Tanzania Moscow

Source: Chakimoscow
 
Mkurugenzi Mkazi wa USAID nchini Tanzania Bw. Andrew Karas Andrew Karas | Biography | U.S. Agency for International Development akitiririka kwa ufasaha kwa hali ya juu kwa kutumia lugha ya Kiswahili. Hii ni kudhihirisha mataifa makubwa walishajua umuhimu wa lugha zote kubwa ulimwenguni kabla hata awamu hii ya tano ya CCM kujibebesha bango kuwa wameanza kushawishi na kueneza Kiswahili nje ya Tanzania.
Z
Source: StarTvHabari
 
Matangazo mubashara toka ubalozi wa Marekani tunaye mwakilishi wa USAID Tanzania Bw. Andrew Karas akifafanua masuala mbalimbali

Source: USEmbassyTZ
 
22 Oct 2018
Nairobi, Kenya

Balozi wa Japan humu nchini Toshitsugu Uesawa ajivunia kuzungumnza Kiswahili sanifu licha ya kujifunza lugha hiyo miaka arobaini iliyopita huko Tanzania.

Source: Citizen TV Kenya
 
22 Feb 2016

Joseph Nye - On Soft Power
Harvard University Distinguished Service Professor Joseph Nye discusses about his concept of soft power in the context of American diplomacy.

Source: Foreign Policy Association

Nchi mabeberu zote hutumia pia soft power yaani ikiwemo kujua lugha za wale wanaowapa misaada au kuwalazimisha kuongea lugha za 'kibeberu' ili yote kwa yote waweze kuendeleza ushawishi wao kwa nchi nyonge.

Tukikataa kuongea mfano Kiingereza ili kutumia lugha hiyo kwa manufaa yetu wao mabeberu watajifunza kimatumbi ili waweze kuendelea na ubeberu wapate chao.

Nadhani imefika wakati Tanzania kujikita kufunza lugha kubwa zote za ulimwenguni hapa Tanzania ili kuweza kujiweka katika nafasi nzuri ya kupingana na ubeberu mpaka huko kwao kwa kutumia Kifaransa, Kirusi, Kifaransa n.k
 
Back
Top Bottom