Felixonfellix
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 1,672
- 182
Jamani maofisini kuna mambo ambayo yanasikitisha sana.
Tuna wataalamu wengi tu ambao utaalamu wao wameupata kimashaka hasa kwa rushwa ya ngono.
Mbaya zaidi wanaendeleza tabia hii hata wanapokuwa maofisini au katika sehemu zao za kazi.
Utashangaa wanapanda vyeo kila kukicha. Kisa tu kamridhisha boss usiku uliopita.
Kasi ya utendaji wao si mzuri hata kidogo zaidi ya kususbiri kuelekezwa kila kitu.
Wamekuwa ni watu wa kubebwabebwa tu katika ofisi husika na wenye dhamana nao.
Kuna wengi tu hawana hata huo ujuzi wanao fanyia kazi hata chembe.
Au wengine wanao lakini kwa kiasi cha chini mno. Hii ni katika ofisi zote za umma na binafsi
Kweli tumeamua hata sisi binadamu kujibinafsisha wenyewe kiasi hiki?
Hivi jamani tunaelekea wapi?
Tuna wataalamu wengi tu ambao utaalamu wao wameupata kimashaka hasa kwa rushwa ya ngono.
Mbaya zaidi wanaendeleza tabia hii hata wanapokuwa maofisini au katika sehemu zao za kazi.
Utashangaa wanapanda vyeo kila kukicha. Kisa tu kamridhisha boss usiku uliopita.
Kasi ya utendaji wao si mzuri hata kidogo zaidi ya kususbiri kuelekezwa kila kitu.
Wamekuwa ni watu wa kubebwabebwa tu katika ofisi husika na wenye dhamana nao.
Kuna wengi tu hawana hata huo ujuzi wanao fanyia kazi hata chembe.
Au wengine wanao lakini kwa kiasi cha chini mno. Hii ni katika ofisi zote za umma na binafsi
Kweli tumeamua hata sisi binadamu kujibinafsisha wenyewe kiasi hiki?
Hivi jamani tunaelekea wapi?