Majoja
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 612
- 186
Na Richard Makore
NIPASHE ya 6 Sept 2011
Waziri wa Ujenzi ,Dk John Magufuli amesema kitengo cha Manunuzi(Procurement) Makao Makuu ya Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kinanuka kwa rushwa na kutangaza kukivunja kwa maelexo kuwa kimeendelea kitia hasara serikali.
Dk Magufuli alitangaza hatua hiyo jana jijini Dar es salaam wakati mkutano wa wakandarasi (na wahandisi) uliofunguliwa na Rais Jakaya Kikwete.
Alisema watumishi wa kitengo hicho wanaongeza gharama katika miradi ya ujenzi na kuongeza kwamba hivi sasa kilometa moja ya barabara inajengwa kwa Sh bilioni 1.8 huku barabara ikiwa chini ya kiwango.
Well done Magufuli, sasa tukupe hint:
Mradi wa nyongeza Bodoma Manyoni-kilometa 16 kwa Tshs bilioni 32-Mkandarasi Estim(Bilioni 2 kwa kilometa)
Mradi wa Msata-Bagamoyo-kilometa 64, Tsh bilioni 105-Mkandarasi Estim(Bilioni 1.6 kwa kilometa)
Kuna makandarasi Tanroads ni sitting room.
Mifano mingi tu,na ni urithi wa Mrema wa TANROADS, Mfugale na Magufuli mnakazi kwelikweli kusafisha uozo.
NIPASHE ya 6 Sept 2011
Waziri wa Ujenzi ,Dk John Magufuli amesema kitengo cha Manunuzi(Procurement) Makao Makuu ya Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kinanuka kwa rushwa na kutangaza kukivunja kwa maelexo kuwa kimeendelea kitia hasara serikali.
Dk Magufuli alitangaza hatua hiyo jana jijini Dar es salaam wakati mkutano wa wakandarasi (na wahandisi) uliofunguliwa na Rais Jakaya Kikwete.
Alisema watumishi wa kitengo hicho wanaongeza gharama katika miradi ya ujenzi na kuongeza kwamba hivi sasa kilometa moja ya barabara inajengwa kwa Sh bilioni 1.8 huku barabara ikiwa chini ya kiwango.
Well done Magufuli, sasa tukupe hint:
Mradi wa nyongeza Bodoma Manyoni-kilometa 16 kwa Tshs bilioni 32-Mkandarasi Estim(Bilioni 2 kwa kilometa)
Mradi wa Msata-Bagamoyo-kilometa 64, Tsh bilioni 105-Mkandarasi Estim(Bilioni 1.6 kwa kilometa)
Kuna makandarasi Tanroads ni sitting room.
Mifano mingi tu,na ni urithi wa Mrema wa TANROADS, Mfugale na Magufuli mnakazi kwelikweli kusafisha uozo.