Rushwa: Rais anatumbua lakini bado watu wanakula rushwa, nini kifanyike? Wachapwe hadharani au wafilisiwe?

Kawe Alumni

JF-Expert Member
Mar 20, 2019
8,685
11,988
Huu ugonjwa wa rushwa sasa unaonekana umejichimbia hata ngazi ya chini ni suala sugu sasa. Hizi wiki mbili Rais amekuwa kwenye ziara mikoa ya kusini ila unaona kila anaposimama kuna madudu yanaibuliwa ni rushwa juu ya rushwa.

Waziri Mkuu alikuwa kwenye ziara mikoa ya Morogoro na Dodoma na Singida kila alipopita kuna madudu kibao yalionekana.

Nini kifanyike ili huu mfumo wa rushwa uishe?

Hili suala la rushwa ni kikwazo kwa upatikanaji wa haki katika jamii hasa ngazi ya chini kuna wananchi hasa wanawake wananyanyasika mno. Rais amekuwa mkali kuwafukuza mafisadi na wala rushwa angalau imesaidia kwa 60%

Je kitu gani kifanyike ili rushwa na ufisadi upate kuwa historia?

Nini kifanyike? Je, kuwachapa hadharani itasaidia? Au kuwafilisi mali zao zote hata kama ameiba pesa ndogo?
 
Arudishe ile trillion 1.5 yetu
Huu ugonjwa wa rushwa sasa unaonekana umejichimbia hata ngazi ya chini ni suala sugu sasa. Hizi wiki mbili Rais amekuwa kwenye ziara mikoa ya kusini ila unaona kila anaposimama kuna madudu yanaibuliwa ni rushwa juu ya rushwa.

Waziri Mkuu alikuwa kwenye ziara mikoa ya Morogoro na Dodoma na Singida kila alipopita kuna madudu kibao yalionekana.

Nini kifanyike ili huu mfumo wa rushwa uishe?

Hili suala la rushwa ni kikwazo kwa upatikanaji wa haki katika jamii hasa ngazi ya chini kuna wananchi hasa wanawake wananyanyasika mno. Rais amekuwa mkali kuwafukuza mafisadi na wala rushwa angalau imesaidia kwa 60%

Je kitu gani kifanyike ili rushwa na ufisadi upate kuwa historia?

Nini kifanyike? Je, kuwachapa hadharani itasaidia? Au kuwafilisi mali zao zote hata kama ameiba pesa ndogo?
 
Huu ugonjwa wa rushwa sasa unaonekana umejichimbia hata ngazi ya chini ni suala sugu sasa. Hizi wiki mbili Rais amekuwa kwenye ziara mikoa ya kusini ila unaona kila anaposimama kuna madudu yanaibuliwa ni rushwa juu ya rushwa.

Waziri Mkuu alikuwa kwenye ziara mikoa ya Morogoro na Dodoma na Singida kila alipopita kuna madudu kibao yalionekana.

Nini kifanyike ili huu mfumo wa rushwa uishe?

Hili suala la rushwa ni kikwazo kwa upatikanaji wa haki katika jamii hasa ngazi ya chini kuna wananchi hasa wanawake wananyanyasika mno. Rais amekuwa mkali kuwafukuza mafisadi na wala rushwa angalau imesaidia kwa 60%

Je kitu gani kifanyike ili rushwa na ufisadi upate kuwa historia?

Nini kifanyike? Je, kuwachapa hadharani itasaidia? Au kuwafilisi mali zao zote hata kama ameiba pesa ndogo?
Hivyo ndivyo jamii yetu watanzania ilivyo, Ata mamvi alipokatwa asigombee Urais kupita CCM aliwahonga chama pinzani , Chadema walikubali kupindisha taratibu zote Sababu ya vipande vya fedba. Rushwa ilimfanya Tundu Lisu na DJ walambe viatu vya maMvi. Kwa ujumla jamii ina hali mbaya.
 
Huu ugonjwa wa rushwa sasa unaonekana umejichimbia hata ngazi ya chini ni suala sugu sasa. Hizi wiki mbili Rais amekuwa kwenye ziara mikoa ya kusini ila unaona kila anaposimama kuna madudu yanaibuliwa ni rushwa juu ya rushwa.

Waziri Mkuu alikuwa kwenye ziara mikoa ya Morogoro na Dodoma na Singida kila alipopita kuna madudu kibao yalionekana.

Nini kifanyike ili huu mfumo wa rushwa uishe?

Hili suala la rushwa ni kikwazo kwa upatikanaji wa haki katika jamii hasa ngazi ya chini kuna wananchi hasa wanawake wananyanyasika mno. Rais amekuwa mkali kuwafukuza mafisadi na wala rushwa angalau imesaidia kwa 60%

Je kitu gani kifanyike ili rushwa na ufisadi upate kuwa historia?

Nini kifanyike? Je, kuwachapa hadharani itasaidia? Au kuwafilisi mali zao zote hata kama ameiba pesa ndogo?

Namshauri Rais wangu Dkt. Magufuli sasa aige Mtindo unaotumiwa na Viongozi wa China na Korea Kaskazini ( DPRK ) ambapo Kuanzia sasa akikamatwa Mtanzania yoyote tena Kiongozi / Mtawala ( Mwenye Mamlaka ) ya Kiutendaji sehemu yoyote ile awe ' anawanyonga ' kwa Kuamuru kuwa ' Wauwawe ' mara moja. Akifanya hivi GENTAMYCINE Mimi nitazidi Kumkumbali.
 
Namshauri Rais wangu Dkt. Magufuli sasa aige Mtindo unaotumiwa na Viongozi wa China na Korea Kaskazini ( DPRK ) ambapo Kuanzia sasa akikamatwa Mtanzania yoyote tena Kiongozi / Mtawala ( Mwenye Mamlaka ) ya Kiutendaji sehemu yoyote ile awe ' anawanyonga ' kwa Kuamuru kuwa ' Wauwawe ' mara moja. Akifanya hivi GENTAMYCINE Mimi nitazidi Kumkumbali.
Mkuu hatuna kiongozi msafi kwa sasa kutuongoza katika hatua hiyo ya kunyonga watu, wala hatuhitaji sheria katili kihivyo, muhimu tuwe na katiba bora,taasisi imara na wananchi wawe na maamlaka.
 
Namshauri Rais wangu Dkt. Magufuli sasa aige Mtindo unaotumiwa na Viongozi wa China na Korea Kaskazini ( DPRK ) ambapo Kuanzia sasa akikamatwa Mtanzania yoyote tena Kiongozi / Mtawala ( Mwenye Mamlaka ) ya Kiutendaji sehemu yoyote ile awe ' anawanyonga ' kwa Kuamuru kuwa ' Wauwawe ' mara moja. Akifanya hivi GENTAMYCINE Mimi nitazidi Kumkumbali.
Hakika hapa umetoa wazo kama great thinker aliyetukuka.

Ni muda sasa wa kuintroduce death penalty kama adhabu ya mtu anayekamatwa na kosa la rushwa, haijalishi ni rushwa ndogo au kubwa kiasi gani. Adhabu iwe moja tu.

Kwa kufanya hivi naamini tutapunguza hili tatizo kwa kiasi kikubwa sana kama sio kulimaliza kabisa.
 
Mkuu hatuna kiongozi msafi kwa sasa kutuongoza katika hatua hiyo ya kunyonga watu, wala hatuhitaji sheria katili kihivyo, muhimu tuwe na katiba bora wananchi wawe na maamlaka.

Hapana acha ' tunyongwe ' tu kama ' tunafisadi ' Maliasili za nchi hii. Kwani hizo nchi ambazo ' zinaua ' hao ' Mafisadi ' zenyewe hazi Katiba zao tena ambazo ni nzuri kushinda zetu Tanzania? Kama ' ukinyonga ' Watu wawili watatu wengine wataogopa na hawatothubutu tena kuendelea na ' Ufisadi ' wao.
 
Wewe mpiga domo unasema kuna rushwa tena??, mteule wa mungu kashindwa kudhibiti??. Huwezi kuwa sehemu ya uchawi afu ukajinadi kuupinga uchawi.
 
Yaani sa hivi watu wanafanya kweli pote la mbali liwalo na liwe tena hakuna serikal inaliwa kama hii ya sasa hivi la kufanya wee ukimwona mla rushwaa au kuna chembe chembe hizo wee toa taarifa ili kumsaidia mh.rais maana yeye mwenyewe hawezi
Huu ugonjwa wa rushwa sasa unaonekana umejichimbia hata ngazi ya chini ni suala sugu sasa. Hizi wiki mbili Rais amekuwa kwenye ziara mikoa ya kusini ila unaona kila anaposimama kuna madudu yanaibuliwa ni rushwa juu ya rushwa.

Waziri Mkuu alikuwa kwenye ziara mikoa ya Morogoro na Dodoma na Singida kila alipopita kuna madudu kibao yalionekana.

Nini kifanyike ili huu mfumo wa rushwa uishe?

Hili suala la rushwa ni kikwazo kwa upatikanaji wa haki katika jamii hasa ngazi ya chini kuna wananchi hasa wanawake wananyanyasika mno. Rais amekuwa mkali kuwafukuza mafisadi na wala rushwa angalau imesaidia kwa 60%

Je kitu gani kifanyike ili rushwa na ufisadi upate kuwa historia?

Nini kifanyike? Je, kuwachapa hadharani itasaidia? Au kuwafilisi mali zao zote hata kama ameiba pesa ndogo?
 
Kwani kikiondoka watakaoingia sio binadamu?labda ungesema kuwekwe sheria kali kama ile ya korea akikamatwa mla rushwa na ikadhibitika kala rushwa basi akapasuliwe kichwa kwa risasi hii naona kidogo watu wataogopa bila hivyo rushwa haitaka iishe
CCM iondoke.. Sumu ni CHAMA CHA MAPINDUZI...

King'ooke. Full stop
 
Hakika hapa umetoa wazo kama great thinker aliyetukuka.

Ni muda sasa wa kuintroduce death penalty kama adhabu ya mtu anayekamatwa na kosa la rushwa, haijalishi ni rushwa ndogo au kubwa kiasi gani. Adhabu iwe moja tu.

Kwa kufanya hivi naamini tutapunguza hili tatizo kwa kiasi kikubwa sana kama sio kulimaliza kabisa.

Nashukuru kwa kunielewa Mkuu na sishangai kwa Wewe Kunielewa GENTAMYCINE kwakuwa ukiona Mtu yoyote tu hapa JamiiForums anamuelewa vyema na anakubaliana nami huku akinikubali pia ' niliyetukuka ' Mimi basi jua hata IQ yake iko juu mno ( Mwerevu / Kipanga ) kabisa.

Na kinachonishangaza na hapa ndipo huwa ' nawadharau ' baadhi ya Watu halafu wanaishia Kukasirika na Kunichukia. Yaani badala ya Wao pia kuonyesha Uchungu wao kwa hawa Watendaji ' Mapopoma ' ambao Kutwa wanamuangusha Mheshimiwa Rais hadi wanampandisha hivi Hasira kwa wao pia Kuwasema wanachokifanya Wao sasa ni kuja na ' Threads ' hapa za Kuonyesha kuwa Rais JPM ni Katili, hana Utu, Huruma, Ubinadamu na Heshima pia kwa Watendaji wake.

Na ili uone sasa Watanzania wengi ' Unafiki ' ni sehemu pia ya ' Tunu ' yao kwa Maisha ya Kila Siku ni hawa hawa ambao leo hii wanawatetea hawa Watendaji ' Wapuuzi ' kuwa Rais ' anawadhalilisha ' Siku Maendeleo yakiwa hayajapelekwa mahala fulani au kuna ' Ufisadi ' umefanyika wanakimbilia Mitandaoni na Vijiweni Kuulamumu Utawala huu wa Rais JPM na hata Kukidhalilisha na Chama chake cha Mapinduzi ( CCM ) ambacho kwa bahati nzuri hata Mimi GENTAMYCINE ni ' Shabiki ' Mwandamizi wake vile vile.

Mwacheni Rais JPM ' atunyooshe ' Watanzania hasa Watendaji wake hawa kwani walizoezwa vibaya na ' Mswahili ' Mstaafu.
 
Katika kukiuka majukumu kwa mtumishi wa umma, hatua zifuatazo za kinidhamu zinaweza kutumika dhidi ya wafanyakazi wa umma:

1. Kukemewa, kwa kulimwa barua ya onyo asije rudia kosa alilotenda na ikitokea akarudia kosa husika basi serikali itamfungulia mashtaka.

2. Kupunguzwa kwa mshahara kwa 5-30% kwa mwaka hadi miaka mitatu..

3. Kupangiwa kazi nyingine ndani ya taasisi yake lakini alipwe mshahara wa chini (demotion)

4. Kusimamishwa kazi kupisha uchunguzi ama kufukuzwa/kufutwa kazi ya umma moja kwa moja na isijetokea akarudishwa serikalini kwa namna yoyote ile.
 
Back
Top Bottom