Jodeny
JF-Expert Member
- Mar 26, 2012
- 201
- 25
Wanajamvi mambo yameanza kuwa moto uchaguzi wa wazazi Dom na waya zilizopatikana zinasema mgombea nafasi ya mwenyekiti taifa, Abdalla Bulembo amekurupushwa na maofisa wa TAKUKURU akijiandaa kumwaga fedha. Jamaa muda mrefu walikuwa wakifuatilia nyendo zake kutokana na kumwaga fedha.
Nyuzi zinapasha kuwa anafadhiwa na Mtandao wa mafisadi wanaowania urais mwaka 2015.
Update: Soma post hii - https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/347009-rushwa-nje-nje-uchaguzi-wazazi.html#post4935227
Nyuzi zinapasha kuwa anafadhiwa na Mtandao wa mafisadi wanaowania urais mwaka 2015.
Update: Soma post hii - https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/347009-rushwa-nje-nje-uchaguzi-wazazi.html#post4935227