Astrum27
Senior Member
- Nov 28, 2016
- 143
- 215
WanaJF habari za asubuhi
Baada ya Serikali awamu ya tano kutoa offer ya umeme wanayodai ni sg 27,000/- maeneo mbalimbali, hawa wanaotumwa kuja unganisha huwa wanataka uwape na pesa pia, wanadai si rushwa ila ni wajibu wa kazi yao hasa Maeneo ya Arusha kabla ya kuunganishiwa umeme wamehalalisha kabisa nyongeza ya pesa (mimi naita Rushwa).
Naomba hoja hii ikiwezekana iwafikie Tanesco waweze toa mfumo wa kuripoti rushwa. Au kama wameamua halalisha malipo zaidi basi tunataka ilipwe benki nchi isikose mapato.
Ahsante
Baada ya Serikali awamu ya tano kutoa offer ya umeme wanayodai ni sg 27,000/- maeneo mbalimbali, hawa wanaotumwa kuja unganisha huwa wanataka uwape na pesa pia, wanadai si rushwa ila ni wajibu wa kazi yao hasa Maeneo ya Arusha kabla ya kuunganishiwa umeme wamehalalisha kabisa nyongeza ya pesa (mimi naita Rushwa).
Naomba hoja hii ikiwezekana iwafikie Tanesco waweze toa mfumo wa kuripoti rushwa. Au kama wameamua halalisha malipo zaidi basi tunataka ilipwe benki nchi isikose mapato.
Ahsante