Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 7,811
- 10,819
Kweli kabisa inabidi watumbuliwe hawa, haiwezekani wakafanya madudu kwa kiwango kikubwa na kuwawekea bond watoto walio maliza 4m mwaka janaTangazo lilikuwa lipo sana applicant yeyote atakae jaza invalid numbers,Application yake itakuwa nullfied and will not be processed(rejected). Sasa imekuwa hizo application ziwe proccessed wakati applicant amejaza invalid index number .Mmepokea rushwa namba zilizokuwa zinatumika kupokelea rushwa ntaziweka hapa na miamala yake
Sent using Jamii Forums mobile app