GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,099
Wanabodi, Kuna ongezeko kubwa la wabunge wa ccm kuhonga na kutoa rushwa mbalimbali ikiwemo Fedha na Magari kwa wajumbe na wana chama Katika ngazi za jimbo
Hili jambo linatia doa chama cha Mapinduzi na limeanza kutudhalilisha sana kuelekea October 2020, Hawa watu wanaturudisha miaka mitano nyumba yaani kabla ya October 2015 ambapo ccm na rushwa ilikuwa kama mkono na kiganja
Dr Magufuli amajitahidi kusafisha lakini kumbe kuna watu rushwa ipo moyoni mwao, Hawawezi kutoa sera bila hongo na rushwa kuelekea uchaguzi 2020
Kuelekea uchaguzi mkuu October 2020 ni dhahiri sasa ndani ya CCM rushwa inatembea bila aibu
Wafuatao wabunge wastaafu wanaogombea tena wanahojiwa na takukuru na kuna wengi watu Wanalalamika
Mheshimiwa Lusinde wa mtera au maarufu kibajaji
Mheshimiwa David Mathayo
Mheshimiwa Serukamba
Hawa niliowataja kama ccm itawapitisha kugombea kwenye majimbo yao ubunge tena, Tutakuwa wanafiki ndani ya chama
Yafuatayo yafanyike kunusuru chama cha Mapinduzi
Hawa watu wakatwe mapema, Hakuna haja ya kuwajadili
Hawa watu watangazwe kama adui namba moja wa chama cha Mapinduzi
Hawa watu wafutwe kabisa uanachama kuonyesha uwajibikaji
Katibu wa itikadi na uenezi umekuwa ukipiga kelele sana majukwaani kuhusu rushwa mbona huwaongelei hawa watu wanaochafua chama kwa sasa?
Wanabodi huu uzi utumike kuweka ushahidi na majina husika kwa wabunge au watia nia ya ubunge ili chama kichukue hatua bila kuwa na ndimi mbili
Hili jambo linatia doa chama cha Mapinduzi na limeanza kutudhalilisha sana kuelekea October 2020, Hawa watu wanaturudisha miaka mitano nyumba yaani kabla ya October 2015 ambapo ccm na rushwa ilikuwa kama mkono na kiganja
Dr Magufuli amajitahidi kusafisha lakini kumbe kuna watu rushwa ipo moyoni mwao, Hawawezi kutoa sera bila hongo na rushwa kuelekea uchaguzi 2020
Kuelekea uchaguzi mkuu October 2020 ni dhahiri sasa ndani ya CCM rushwa inatembea bila aibu
Wafuatao wabunge wastaafu wanaogombea tena wanahojiwa na takukuru na kuna wengi watu Wanalalamika
Mheshimiwa Lusinde wa mtera au maarufu kibajaji
Mheshimiwa David Mathayo
Mheshimiwa Serukamba
Hawa niliowataja kama ccm itawapitisha kugombea kwenye majimbo yao ubunge tena, Tutakuwa wanafiki ndani ya chama
Yafuatayo yafanyike kunusuru chama cha Mapinduzi
Hawa watu wakatwe mapema, Hakuna haja ya kuwajadili
Hawa watu watangazwe kama adui namba moja wa chama cha Mapinduzi
Hawa watu wafutwe kabisa uanachama kuonyesha uwajibikaji
Katibu wa itikadi na uenezi umekuwa ukipiga kelele sana majukwaani kuhusu rushwa mbona huwaongelei hawa watu wanaochafua chama kwa sasa?
Wanabodi huu uzi utumike kuweka ushahidi na majina husika kwa wabunge au watia nia ya ubunge ili chama kichukue hatua bila kuwa na ndimi mbili