Rushwa Bungeni: Kamati ya bunge ya Nishati na Madini yavunjwa

Kamati zilizokuwa na Wenyeviti toka upinzani ni PAC- Zitto, POAC- Mrema na ile ya Cheyo. Hii ilikuwa chini ya Magamba wenyewe
 
mmh sister, kumbe na wewe uko vyema kwenye politics eeh... hope you have calculated all the risks involved in this damn business (just joking teh teh)

nimekuoana shem ukinichungulia tu. aisee miye huwa napenda sana siasa ila huwa sipend za kwenye majukwaa bali nashauri wanasiasa nikiwa nje tu. ni mchezo mchafu kweli.

lakini kweli umeskia mama Lwakatare anaiba umeme wa mamilion jamani is it fair???? niliwah kuwa mwl ktk shule yake wakati ndo zinaanza enzi hizo kule tbt bima sisemi uongo na hata leo anajua aliwah kuwapigisha wanafunzi picha wakiwa na sura za huzuni mabwenini kama vile ni yatima wamekusanywa mahali ili hali ni watoto wa wazazi wenye pesa zao and they were paying about a million by then kama fees. akazituma ulaya haikupita miezi akajenga mbezi beach na kenton.

sasa sijui wafadili wake wamempiga chini kaamua kuiibia tanesco umeme hadi mamilion??
 
Zitto ndie aliekua mwenyekiti wa hiyo kamati. Tunaomba ufafanuzi wake ni nani na nani wamehusika kwenye kuomba na kupokea rushwa.!
 
wanatakiwa kuchukuliwa hatua pia. Mbona wataendelea kuomba rushwa kamati nyingine. Yaani ilibidi wavuliwe ubunge. Kuhamisha haisaidii kitu.
 
Kweli wamekuwa wawazi, lipi linapaswa kutekelezwa hasa na Tanesco kwa wateja wake...........

kina veronica na fred na mama lwakatare wamo katika wale wanahujumu tanesco. ila pia mpango na sera za pollodium na nickel mwana jiolojia kausemea vyema sana. na hata ishu ya kuwa na wataalam wao wa gesi nimeiona ina mashiko haya sasa kwa wanafunzi ni wakati mzuri sana wa kuchangamkia fani ya mining na geology ili muweze kuwa miongoni mwa wanafunzi 30-50 mtakao someshwa na wizara ya nishati. hofu ni kwamba hawa wanafunzi watasomeshwa kila mwaka hadi ama wawe na jumla ya wataalam 30 -50 tu? hapa sikuelewa vzr.
 
Zitto ndie aliekua mwenyekiti wa hiyo kamati. Tunaomba ufafanuzi wake ni nani na nani wamehusika kwenye kuomba na kupokea rushwa.!


Kuna kamati ambazo traditionally zinakuwa chini ya chama tawala, na nyingine zinakuwa chini ya upinzani. Hii kamati ya nishati iko chini ya chama tawala. Zitto anaongoza kamati ya mahesabu mashirika ya umma.
 
Tuhuma za rushwa zimetawala kwa baadhi ya wabunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania,ingawaje hawajatajwa bungeni rasmi ila mmoja wapo ni Zitto Kabwe,na kwa hoja iliyotolewa na Vita Kawawa ya kuvunja kamati ya nishati na madini na nyingine zilizoshutumiwa;pengine POAC inayoongozwa na Zito,je kwa shutuma hizi haiwezi kuwa ni mipango ya kummaliza Zitto kisiasa baada ya yeye kuwamaliza wenzake?rejea sakata la kutokuwa na imani na waziri mkuu iliyopelekea baraza la mawari kuundwa upya na wengine kutoswa.JE NI SHUTUMA ZA KWELI AU NDIO VISASI?
 
Bila ya kujali ni kisasi au kumalizana kisiasa, ukweli unatakiwa usemwe siku zote!
 
Ikivunjwa nina wasiwasi kama cdm wataipata nafasi ya mbunge wao kuuongoza tena.au kanuni zinasemaje wadau?

Mkuu naona wewe na wanaJF wengi wanachanganya mambo. Wabunge toka vyama vya upinzani wao wanaongoza zile kamati tatu za kuikagua serikali kimahesabu- wanaziita oversight committees, yani POAC (mashirika ya Umma) chini ya ZZK, Hesabu za Serikali chini ya Cheyo, na Hesabu za Serikali za Mitaa chini ya Mrema. Kamati zingine zilizobaki, ikiwamo hii ya Nishati na Madini, sio rahisi Mbunge toka Opposition akawa Mwenyekiti wake kwa sababu ya wingi wa Wajumbe wake toka CCM. Zile tatu za oversight zinaongozwa na Opposition MPs kutokana na kanuni na wala sio kwa bahati.

Na kwa wale wanaofikiri kuwa ZZK ndiye mwenyekiti wa kamati hii ya Nishati wamepotoka-ZZK anaongoza kamati ya Hesabu za Mashirika ya Umma. Mwenyekiti wa kamati iliyovunjwa awali alikuwa January Makamba, na sijui alikuwa replaced na nani baada ya yeye kuwa Naibu Waziri, ila najua Mnyika ni Mjumbe tu kwenye kamati hii.
 
Jamani ni kamati ipi hasa, nishati na madini au Hesabu za serikali na mashirika ya umma,
Zitto yeye ni hesabu za serikali na mashirika ya umma.
 
bunge la leo limekuwa la kumjenga mtanzania apate huduma za umeme kwa urahisi, kwa madini bado kidogo.....
 
Ole Sendeka na Mh, Msafiri ndiyo walienda front kwa Katibu Mkuu Maswi kuomba mlungula kwa niaba ya wenzao ndiyo maana spika amesema ni aibu kuona mbunge anapiga kelele (Ole) kumbe naye ni mnafiki.
 
Mkuu naona wewe na wanaJF wengi wanachanganya mambo. Wabunge toka vyama vya upinzani wao wanaongoza zile kamati tatu za kuikagua serikali kimahesabu- wanaziita oversight committees, yani POAC (mashirika ya Umma) chini ya ZZK, Hesabu za Serikali chini ya Cheyo, na Hesabu za Serikali za Mitaa chini ya Mrema. Kamati zingine zilizobaki, ikiwamo hii ya Nishati na Madini, sio rahisi Mbunge toka Opposition akawa Mwenyekiti wake kwa sababu ya wingi wa Wajumbe wake toka CCM. Zile tatu za oversight zinaongozwa na Opposition MPs kutokana na kanuni na wala sio kwa bahati.

Na kwa wale wanaofikiri kuwa ZZK ndiye mwenyekiti wa kamati hii ya Nishati wamepotoka-ZZK anaongoza kamati ya Hesabu za Mashirika ya Umma. Mwenyekiti wa kamati iliyovunjwa awali alikuwa January Makamba, na sijui alikuwa replaced na nani baada ya yeye kuwa Naibu Waziri, ila najua Mnyika ni Mjumbe tu kwenye kamati hii.

ume tisha mkuu...darasa lime kwenda shule!
 
Back
Top Bottom