BHULULU
JF-Expert Member
- Jun 28, 2012
- 4,987
- 2,009
Hii link inaweza kusaidia kupata majina yao Parliament of Tanzania
nimeskia wakiitaja st marys so mama lwakatare kama siyo memba lni mmojawapo wa watu waliohusika kuhujumu tanesco
Ikivunjwa nina wasiwasi kama cdm wataipata nafasi ya mbunge wao kuuongoza tena.au kanuni zinasemaje wadau?
Hii kamati inaongozwa na bwana Zedi na makamu wake ni Diana ChiloloIkivunjwa nina wasiwasi kama cdm wataipata nafasi ya mbunge wao kuuongoza tena.au kanuni zinasemaje wadau?
Ni kamati ya kudumu ya bunge ya nishati na madini, sambamba kamati nyingine zinazotuhumiwa nazo zitavunjwa.
Ikivunjwa nina wasiwasi kama cdm wataipata nafasi ya mbunge wao kuuongoza tena.au kanuni zinasemaje wadau?
Prof Muhongo na timu yake wako Njema. Kiukweli wameng'ara kwenye Bunge la leo
Ikivunjwa nina wasiwasi kama cdm wataipata nafasi ya mbunge wao kuuongoza tena.au kanuni zinasemaje wadau?