Advocate_Silayo
Member
- Aug 5, 2019
- 62
- 87
Kumekuwa na tabia ya Askari wa Usalama Barabarani kusimamisha mabasi ya abiria maeneo ya Kibamba kwa Mangi pamoja na eneo la Magari Saba, Askari hao mara nyingi wamekuwa wakipokea pesa kuanzia shilingi 2000/= kutoka kwenye mabasi hayo.
Kuna nyakati ni kweli magari huwa na makosa na kuna nyakati mabasi hayo huwa hayana makosa ila husimamishwa na kuombwa rushwa hizo.
Jambo hili limekuwa kero hasa kwa wasafiri kupotezewa muda wao pindi wakiwa safarini
Kuna nyakati ni kweli magari huwa na makosa na kuna nyakati mabasi hayo huwa hayana makosa ila husimamishwa na kuombwa rushwa hizo.
Jambo hili limekuwa kero hasa kwa wasafiri kupotezewa muda wao pindi wakiwa safarini