Rusha roho inaelekea kubaya....

fiksiman

JF-Expert Member
May 17, 2008
402
104
Kwa wale wafuatiliaji na wapenzi wa muziki wenye maadhi ya pwani maarufu kama taarabu watakubalina na mimi kuwa sasa umeshapoteza kabisa muelekeo na unakoelekea kunatisha. Taarabu ya sasa na zamani imebadilika kabisa kuanzia mapigo hadi uchezaji. Labda huku ndiko kuendana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia.

Kilichonigusa zaidi kwenye muziki huu ni ile staili ya uchezaji. Kwa kweli inatisha na kama mwenzangu na mimi unaroho nyepesi unaweza kuadhirika kama si kupata mfadhaiko. Rusha roho imegeuka wachezaji wengi ni wadada kama si wamama, tena wale wenye makalio ya kutisha, HUBIDUA MAKALIO YAO NA KUYAFANYA YAANGALIA JUU HUKU WAKIZUNGUSHA NYONGO ZAO KICHWA KIKIWA KIMEGEUZWA KIKIANGALIA NAMNA MAKALIO HAYO YANAVYOKATA MAWIMBI YA UPEPO.

Jamani mi mwenzenu napata shida sana ninapoona mitindo hiyo ya uchezaji na hulazimika kutafuta kibudirusho ili kurejea katika hali ya kawaida....Tushauriane jamani hii haki kubuni uchezaji wa namna hii????

attachment.php
 

Attachments

  • Photo-0200.jpg
    Photo-0200.jpg
    16.9 KB · Views: 172
Kwa wale wafuatiliaji na wapenzi wa muziki wenye maadhi ya pwani maarufu kama taarabu watakubalina na mimi kuwa sasa umeshapoteza kabisa muelekeo na unakoelekea kunatisha. Taarabu ya sasa na zamani imebadilika kabisa kuanzia mapigo hadi uchezaji. Labda huku ndiko kuendana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia.

Kilichonigusa zaidi kwenye muziki huu ni ile staili ya uchezaji. Kwa kweli inatisha na kama mwenzangu na mimi unaroho nyepesi unaweza kuadhirika kama si kupata mfadhaiko. Rusha roho imegeuka wachezaji wengi ni wadada kama si wamama, tena wale wenye makalio ya kutisha, HUBIDUA MAKALIO YAO NA KUYAFANYA YAANGALIA JUU HUKU WAKIZUNGUSHA NYONGO ZAO KICHWA KIKIWA KIMEGEUZWA KIKIANGALIA NAMNA MAKALIO HAYO YANAVYOKATA MAWIMBI YA UPEPO.
Jamani mi mwenzenu napata shida sana ninapoona mitindo hiyo ya uchezaji na hulazimika kutafuta kibudirusho ili kurejea katika hali ya kawaida....Tushauriane jamani hii haki kubuni uchezaji wa namna hii????

...Please explain about this kiburudisho thing because when that chizi Mahsahnjah Mkhandamizajih talks about kiburudisho he means...yes, you'v guessed righ!! ;);)
 
Kiburudisho gani huwa unakitafuta mkuuu???
Ila rusha roho inarusha sana mapigo yetu ya moyo mpaka nyumbani amani hamna siku hizi
 
Back
Top Bottom