Enny JF-Expert Member May 26, 2009 962 130 Nov 1, 2010 #1 Napenda kufahamu matokeo ya Rungwe na Kyela mtu mwenye taarifa tujulishe jamani.
M masaiti Senior Member Jun 16, 2008 196 22 Nov 1, 2010 #2 Rungwe Mashariki Prof Mwandosya alipita bila kupingwa, Kyela Dr. Mwakyembe anaongoza kwa zaidi ya 75%. Prof Mwakyusa sina uhakika
Rungwe Mashariki Prof Mwandosya alipita bila kupingwa, Kyela Dr. Mwakyembe anaongoza kwa zaidi ya 75%. Prof Mwakyusa sina uhakika
Bhbm JF-Expert Member Oct 31, 2009 714 208 Nov 1, 2010 #3 Mi nadhani huna sababu ya kujisumbua kwani huko in ajulikana kuwa wabunge ni wa ccm na Rais ni DR. SLAA PHD, tafadhali huo ni mtazamo wangu.
Mi nadhani huna sababu ya kujisumbua kwani huko in ajulikana kuwa wabunge ni wa ccm na Rais ni DR. SLAA PHD, tafadhali huo ni mtazamo wangu.
K kasyabone tall JF-Expert Member Sep 13, 2009 254 59 Nov 1, 2010 #4 Bhbm said: Mi nadhani huna sababu ya kujisumbua kwani huko in ajulikana kuwa wabunge ni wa ccm na Rais ni DR. SLAA PHD, tafadhali huo ni mtazamo wangu. Click to expand... Hayo ndio majibu.
Bhbm said: Mi nadhani huna sababu ya kujisumbua kwani huko in ajulikana kuwa wabunge ni wa ccm na Rais ni DR. SLAA PHD, tafadhali huo ni mtazamo wangu. Click to expand... Hayo ndio majibu.
Henge JF-Expert Member May 14, 2009 6,933 1,510 Nov 1, 2010 #6 Nampula said: jamani shitambala vp ae? Click to expand... Shitambala nasikia anafanya vizuri but siyo rasmi!
Nampula said: jamani shitambala vp ae? Click to expand... Shitambala nasikia anafanya vizuri but siyo rasmi!