Rungwe: Moja ya Wilaya zilizosahaulika na masikini zaidi Tanzania

kajembe

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
982
429
Nilibahataika kutembelea maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Rungwe Mkoni Mbeya baada ya kusikia ni sehemu iliyo na hali ya hewa nzuri na mazingira yavutiyao sana, lakini nilichokuja kuona ni umasikini mkubwa na wilaya ambayo imesahaulika kabisa na serikali, hakuna miradi yoyote ya maendeleo, watu choka mbaya sana wako kwenye lindi la umasikini.

Bahati mbaya sana wilaya hii haina watu wenye weredi wa kuwatetea hata kuwasemea ili kusaidia kuleta maendeleo na hata Mbunge wao yuko busy na bisahara zake, siwezi shangaa kwanini walimchagua kwa hali ilivyo ya wilaya ni rahisi sana kuweka mtu asiye na hata influence yeyote ya hata kuwasemea li walau serikali iwaangalie kwa jichola huruma.

Kuna haja sana ya serikali kuangalia uwezekano kuzisadia sehemu ambazo ziko nyuma sana na zimesahaulika hasa maeneno ya mikoa hii ya kusini ambayo iko pembezoni mwa Nchi.

Miundombinu ya barabara imechakaa sana na kizamani sana, wenyeji wanamkumbuka Mwalimu ndiyo angalau awamu yake aliwakumbuka, bahati nyingine mbaya sana wilaya hii hata mtu akisoma kidogo basi harudi tena kwao na wala hawana destrui hata yakusaidiana, kabila lao wengi ni wabinafsi na wenye kupendenda kutukuzwa na hawapendi wenzao wainuke kabisa tofauti wenzao maeneneo mengine ambao husaidiana na kuinuana sana.

Kwa watu wa mikoa mingine kama manataka ardhi nzuri ya kilimo bwerere nendeni wilaya ya rungwe maana wenyeji wamelala usingizi wa pono hawajui duniani kunaendaje, mimi naanza kununua ndizi na kupeleka Dar kwafaida kubwa maana mkungu wa ndizi mpaka buku tano.

Mwisho Rungwe jitahidini msomeshe watoto wenu shule acheni mila za kuona kusoma ni usumbufu kwa watoto wenu na serikali iitazame wilaya hiyo kwa jicho la huruma keki ya taifa ifike kule pia maana ni sehemu ya Tanzania.
 
Ubinafsi na miundombinu ya Barbara mibovu ni kweli pia hawana bahati ya kupata viongozi machachali wa kuwasemea,ila mabomba ya maji yapo hadi vijijini pamoja na chakula cha kutosha
 
Rungwe jitahidini msomeshe watoto wenu shule acheni mila za kuona kusoma ni usumbufu kwa watoto wenu
Kwa hoja hii ndiyo nimeelewa kuwa huijui Rungwe na huwajui watu wa eneo hili. Kwenye suala la elimu nchi hii Kuna makabila 3 tu ambayo yaliichangamkia mapema:-wahaya, wachaga na wanyakyusa (wenyeji wa Rungwe). Maeneo mengine wazazi wameanza kusomesha watoto baada ya serikali kujenga shule za kata.

Hivi mtoa mada umewahi kufika maeneo ya mikoa ya kusini? Lindi na Mtwara.
 
Nakubaliana na mleta mada, niliwahi tembelea Rungwe siku za nyuma, Kuna umasikini wa kutupwa na wengi ni wajinga...
 
Kwa uwepo wa chakula cha kutosha ilitakiwa watu wawe matajiri, kinyume chake hali ni mbaya sana, kama mtoa mada asemavyo imagine mkungu mmoja wa ndizi Arusha ama Dar ni mpaka elfu thelathini wakati huo Rungwe unauziwa elfu tatu ama kupewa bure kabisa.

Mazingira mazuri sana kwa mifugo aina zote but still bei za vitoeo ni kama bure pia (chukulia mfano wa mbuzi katoliki)

Wazawa waliosoma wote wapo mijini, vijijini wamejaa wageni kutoka sehemu mbalimbali za nchi na hata nchi jirani. Mbunge (Mzee wa Landmark) hana muda wa kufika kila mahali maana yeye mwenyewe binafsi hana cha kupoteza (tajiri sana)

Hakika Rungwe inahitaji mabadiliko makubwa sana, kutokana na geographic opportunity, wakazi wahimizwe kilimo cha mazao ya biashara ili wajitoe kwenye lindi la umasikini, mfano, mazao kama ya mipalachichi ya muda mfupi yakioteshwa kila mahali hakika fedha za kigeni zitawafikia wakulima moja kwa moja. Kuhamasishwe ufugaji wa ng’ombe wa kisasa na watu wakopeshwe kila kona kwa kuzingatia upatikanaji wa chakulA cha mifugo cha kutosha mwaka mzima, hakika hata kiwanda kama cha ASAS kitawafuata tu.

Mwisho, watu wa Rungwe ni wakalimu kupita maelekezo, ukarimu wao usitafsiriwe kama ni ujinga, ni watu wenye misimamo mikali pia na wanajitambua na ndio hulisha nchi kwa baadhi ya vyakula.
 
Kwa hoja hii ndiyo no umeelewa kuwa huijui Rungwe na huwajui watu wa eneo hili. Kwenye suala la elimu nchi hii Kuna kakabila 3 tu ambayo yaliichangamkia mapema:-wahaya, wachaga na wanyakyusa (wenyeji wa Rungwe). Maeneo mengine wazazi wameanza kusomesha watoto baada ya serikali kujenga shule za kata.

Hivi mtoa mada umewahi kufika maeneo ya mikoa ya kusini? Lindi na Mtwara.
Nimefika lakini bado Rungwe ni masikini sana ndugu yangu.
 
Kwa hoja hii ndiyo no umeelewa kuwa huijui Rungwe na huwajui watu wa eneo hili. Kwenye suala la elimu nchi hii Kuna kakabila 3 tu ambayo yaliichangamkia mapema:-wahaya, wachaga na wanyakyusa (wenyeji wa Rungwe). Maeneo mengine wazazi wameanza kusomesha watoto baada ya serikali kujenga shule za kata.

Hivi mtoa mada umewahi kufika maeneo ya mikoa ya kusini? Lindi na Mtwara.
Wanyakyusa siyo wasomi kama unavyotaka kudanganya hapa
 
toka jamiiforum ianze sijawahi ona mtu mjinga na muongo kama wewe!

Rungwe ni masikini? Kivipi? Kulinganisha na wapi?

Rungwe ilikuwa na umeme karibu asilimia 70 ya vijiji vyao vyote before ujio wa rea

Umewahi fika kongwa, Lindi, buhigwe,tanganyika,?
Umeme uko wapi ndugu yangu, Rungwe iko nyuma kimaendeleo sana tu na miundombinu mibovu na wala serikali haina habari na huko
 
toka jamiiforum ianze sijawahi ona mtu mjinga na muongo kama wewe!

Rungwe ni masikini? Kivipi? Kulinganisha na wapi?

Rungwe ilikuwa na umeme karibu asilimia 70 ya vijiji vyao vyote before ujio wa rea

Umewahi fika kongwa, Lindi, buhigwe,tanganyika,?
Kweli mimi ni mjinga sawa nimekuwa victim kama wananchi wa Rungwe. Someni shule
 
Nakubaliana na mleta mada, niliwahi tembelea Rungwe siku za nyuma, Kuna umasikini wa kutupwa na wengi ni wajinga...
Yaani sio kweli , tuseme tu labda wabadilishe chama lkn sio kusema rungwe ni masikini...bahati nzr nimezunguka sana nchi hii ktk zoezi la Chadema ni msingi nimekutana na wilaya masikini ile mbaya lkn sio rungwe useme masikini...huo ni uongo na ni upuuzi
 
Back
Top Bottom