Chisamba
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 1,517
- 777
u
tatakiwa upewe adhabu wewe na sio kituo cha runinga sio haki kwakweli..na fika unajua kabisa kuwa gigy anajichetuaga akili basi ni kumtoa kabisa kwenye tasniaIko ivi mfano nimehudhuria kwenye shughuri ya kiserikali ambayo inarushwa mubashara na TBC Mimi nikiwambele ya kamera labda nasoma risala mala paap nikavua suruali yangu nikapandisha na shati kuonesha utupu wangu ghafla...
Hapo TBC watatakiwa wafungiwe mkuu au Mimi nipewe adhabu?