nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Kwenye katiba mpya lazima tuweke sheria Ndugu wa Rais atakayechaguliwa hawaruhusiwi kugombea Urais au Madaraka yoyote Nchini itasaidia Ubadhirifu usawa na ulafi wa Madaraka na Pesa.
Mtoto wa Karume kawa Rais na Mtoto Mwingine yuko tayari kugombea
Mfano Migongano na Mtoto wa Kikwete
Mfano Mtoto wa Mwinyi kusubiri Urais
Watoto wa Jumbe hawapo
Watoto wa Nyerere hawapo
We should stop this.
Mtoto wa Karume kawa Rais na Mtoto Mwingine yuko tayari kugombea
Mfano Migongano na Mtoto wa Kikwete
Mfano Mtoto wa Mwinyi kusubiri Urais
Watoto wa Jumbe hawapo
Watoto wa Nyerere hawapo
We should stop this.