ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,087
- 12,989
Sina chuki na chombo chochote,haujawahi kuona wakiimba nyimbo zakumsifu nakukisifu chama,hebu google.Una chuki na JWTZ nini, maana hawa jamaa nawaonaga Mara kibao tu wanafanya mausafi hasa sehemu za social centers. Sidhani Kama ilikuwa kwa ajili ya siasa.