Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Sadist in power.Makosa mengine sio ya kufukuzana kazi kabisa ila ndio hivyo tena maana kuna watu wanajisikia faraja kuu mioyoni mwao kila wanapoinflict maumivu kwa watu wengine. Huu ni ugonjwa na ukipea sana mtu anaweza kugeuka kuwa serial killer