cmases
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 1,766
- 1,425
Achana na kufikiria Uteule, huo ni utumwa na siku akiamka vibaya anakudhalilisha vibaya sana!Hatari mkuu,,,matokeo yake ananipiga kimya kimya,,, wachawi watu wabaya sn,,,sio wa kuwachekea,,,pengine mkuu ulipaswa uwe hata mteule wa rais,,,lakini wachawi wamekupeleka shughuli zingine...ha ha ha ha..nuksi tupu hawa..